Vituko, kero na changamoto za club

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Maniner!

Ingekua mimi ndio masai, kesho yake ingekua zamu yangu kupigwa na mabaunsa. Ningerudi nimejikoki kama baba ubaya!



- KANA -
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] masai hadi kesho kama nikikutana naye nikimsimulia anabisha hataki kabisa kuamini kuwa sisi tulipigwa kisa yeye kapigwa mate na shoga [emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miwani ya nini club. Huo ushamba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…