Vituko, kero na changamoto za club

Vituko, kero na changamoto za club

Mzuka umepandaa umepata na demu wa kubambia unamsikia dj anasema tunapiga nyimbo mbili za mwisho....


Unapoenda na demu wako alafu unakutana na mademu wakali kuzid wako alafu wanakata balaa..hapo unatamani umgawe demu wako kwa mkopo....


Umepiga pamba kali alafu kumbe ndani ukakutana na jamaa kamawanne wamevaa kama ww mkajikuta mmeunda timu yenu...


Maraaa paaa mkanda wa saa umekatika na saa imedondoka katkat ya watoto wa mbwa au miwani imejiachia chini dkdk sifur nyingi unakutana na hamna...


Pale unaagiza maji yakunywa umetoa elfu 5 unarudishiwa 2500...

Upo bize na kuruka mangoma ile unaangalia simu unakutana na sms inasema... Kesho usipolipa kodi ya nyumba utafute pa Kwenda namfukoni huna kitu... Au sms inasema nipo kaunta ya juu mm ashura msambwanda naomba uninunulie castle lite moja na ww umebaki na nauli tyu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzuka umepandaa umepata na demu wa kubambia unamsikia dj anasema tunapiga nyimbo mbili za mwisho....


Unapoenda na demu wako alafu unakutana na mademu wakali kuzid wako alafu wanakata balaa..hapo unatamani umgawe demu wako kwa mkopo....


Umepiga pamba kali alafu kumbe ndani ukakutana na jamaa kamawanne wamevaa kama ww mkajikuta mmeunda timu yenu...


Maraaa paaa mkanda wa saa umekatika na saa imedondoka katkat ya watoto wa mbwa au miwani imejiachia chini dkdk sifur nyingi unakutana na hamna...


Pale unaagiza maji yakunywa umetoa elfu 5 unarudishiwa 2500...

Upo bize na kuruka mangoma ile unaangalia simu unakutana na sms inasema... Kesho usipolipa kodi ya nyumba utafute pa Kwenda namfukoni huna kitu... Au sms inasema nipo kaunta ya juu mm ashura msambwanda naomba uninunulie castle lite moja na ww umebaki na nauli tyu

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] umenivunja mbavu we jamaa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmh ww na rafiki zako wa kike huenda mnasagana si bure..maana hai-make sense, ww ni demu, unakataa kuikatikia dushe iliyo ndani ya suruali, unaenda kuikatikia papuchi iliyo ndani ya sketi.. Yuuck eti mm nijikute club, nacheza na mwanaume mwenzangu zero distance, dah naweza kutapika

Nakumbuka kuna jamaa mmoja humu jf alisema "women are lesbians by nature" Mzigua90
Absolutely true[emoji38]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wezi wa bia naona umewasahau
et umekaa kaunta ukugeuka tuu ukirudi bia hamna jirani zako macho makavuuu

kuna hotel 1iv tabora siitaji jina ila kuna band inapiga pale tkanyanyuka meza nzima kucheza kurudi mzinga wa zanzi na bia 3 zilkua hazjafunguliwa hazipo
majirani zako wameulamba had unaona noma kuulizia

kwa kweli siku nkikamata mtu ntamuoa
 
Mzuka umepandaa umepata na demu wa kubambia unamsikia dj anasema tunapiga nyimbo mbili za mwisho....


Unapoenda na demu wako alafu unakutana na mademu wakali kuzid wako alafu wanakata balaa..hapo unatamani umgawe demu wako kwa mkopo....


Umepiga pamba kali alafu kumbe ndani ukakutana na jamaa kamawanne wamevaa kama ww mkajikuta mmeunda timu yenu...


Maraaa paaa mkanda wa saa umekatika na saa imedondoka katkat ya watoto wa mbwa au miwani imejiachia chini dkdk sifur nyingi unakutana na hamna...


Pale unaagiza maji yakunywa umetoa elfu 5 unarudishiwa 2500...

Upo bize na kuruka mangoma ile unaangalia simu unakutana na sms inasema... Kesho usipolipa kodi ya nyumba utafute pa Kwenda namfukoni huna kitu... Au sms inasema nipo kaunta ya juu mm ashura msambwanda naomba uninunulie castle lite moja na ww umebaki na nauli tyu

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeua mabaaaya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo...Ni uchoyo na roho mbaya

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mzee ukiona club bila manzi hutainjoy si unatafta manzi yako wa kutoka nae tu mzee. Mi binafsi club naona hainogi bila manzi yani hasa nikienda bila kampani ya wahuni wangu wawili watatu.

Ile feeling unaona mwamba pembeni amevaa simple ila classic kazungukwa na chupi kibao zenye maumbo ya hatari mara kashika kiuno huku, mwingine kaja kujinong'onezesha kala kabusu. Af msela hana pressure kabisa anainjoy mbaya kabisa akitaka kucheza anajivutia mmoja kila wimbo anacheza na mwengine!
 
Hiyo style ya kucheza Kwaito kimakundi nakumbuka kipindi Savannah Lounge ndo mpya kabisa niliwahi wafuata kundi zima dance floor na kuanza kuwaharibia step zao huku nikiwatukana kuwa wapeleke step zao kanisani walimind ila hawakuwa na cha kunifanya maana confidence ilikuwa juu sana wakahofia ni nini nilikuwa najivunia kumbe mikwara tu ya mlevi.
 
Sasa mzee ukiona club bila manzi hutainjoy si unatafta manzi yako wa kutoka nae tu mzee. Mi binafsi club naona hainogi bila manzi yani hasa nikienda bila kampani ya wahuni wangu wawili watatu.

Ile feeling unaona mwamba kazungukwa na chupi kibao zenye maumbo ya hatari mara kashika kiuno huku, mwingine kaja kujinong'onezesha kala kabusu. Af msela hana pressure kabisa anainjoy mbaya kabisa!
Tunaruka nao humo humo...nikienda na manzi lazima tutagombana tu,...mm Nina wivu Sana, nikienda toilet nikakuta boya anamzenga zenga lazima nitamaind tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo style ya kucheza Kwaito kimakundi nakumbuka kipindi Savannah Lounge ndo mpya kabisa niliwahi wafuata kundi zima dance floor na kuanza kuwaharibia step zao huku nikiwatukana kuwa wapeleke step zao kanisani walimind ila hawakuwa na cha kunifanya maana confidence ilikuwa juu sana wakahofia ni nini nilikuwa najivunia kumbe mikwara tu ya mlevi.
Huwaga wananikera Sana...[emoji846]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmh ww na rafiki zako wa kike huenda mnasagana si bure..maana hai-make sense, ww ni demu, unakataa kuikatikia dushe iliyo ndani ya suruali, unaenda kuikatikia papuchi iliyo ndani ya sketi.. Yuuck eti mm nijikute club, nacheza na mwanaume mwenzangu zero distance, dah naweza kutapika

Nakumbuka kuna jamaa mmoja humu jf alisema "women are lesbians by nature" Mzigua90
Hayo yako tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bila marafiki nisingekanyaga club.

Naishia kulala tu kwenye makochi.

Wakitaka kuondoka wananiamsha tunasepa.

Sipendi kelele, sina hobby ya mziki na sinywi pombe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nikiwa na marafiki ndiyo raaaaaha hata kama sinywi nitaishika moja kama vile nimeshapiga nyingi sana.

Mimi nafuata warembo tu. Sishindani bei na mrembo nikimtaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom