monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,781
- 13,444
Habar za leo wanajukwaa,
Straight 4ward to the topic; naomba leo tufanye ku-share tabia au vituko vya wauza nyama wote Tanzania nzima...,lkn mm nitaelezea vituko vya wauza nyama wa Dar kwa kuwa nawafaham vizuri na nilishawahi kufanya kazi ya kuuza nyama kwa nyakati tofauti tofauti ( hasa fillet,nilikuwa nakusanya fillet kwenye makalo ya mazizini,bucha za Buguruni sokoni, makalo ya Tegeta, Bucha za Manzese, Mbezi Louis na Bucha za Kibamba CCM... Na mizunguko yote hyo nilikuwa nikiifanya ndani ya siku moja so,hawa wauza nyama wa Dsm nawafaham vzur sana) hizi ndzo Tabia/vituko vyao;
1. Matusi kwao ni sehemu ya mawasiliano,kwa mfano siku moja nikiwa nimeenda mahali kukusanya fillet kuna Mzee alikuwa anapiga story na vijana na akaulizwa na hao vjana "Mzee una mke?"...." aliwajibu "Sasa kama sina mke huwa namt*mb* nani"
Kiukweli hawa majamaa wanapenda sana matusi na huwa hawatumii lugha ya kistaarabu
2. Ni wazinzi kupindukia, wao hawabagui awe ni mke wa mtu, house girl, Binti, Mama mtu mzima au Kikongwe akilegeza lazma mpira uingie kwenye nyavu...daima usije mtambulisha ndguyo wa kike au mkeo kwa muuza nyama...,wao hawana ushemeji wanakulaga
3. Hawaheshimu vitu vya watu kama vile fedha,mfano muuza nyama akiuza buchani kwako na ukimwambia "nenda ukalale na mauzo utaniletea kesho" ataenda kunywea fedha (mauzo) zote na kesho ukimdai atakuwa mkali kama shoka ya kukatia nyama
4. Hawana nyuso zenye aibu (hawana staha),mfano unaweza kumkamata ugoni kwa mkeo akakukimbia lkn kesho atakuja kuomba kazi ya kuuza bucha tena kwa matusi na hawana neno 'nisamehe'
5. Ni matepeli na ni wezi waliokubuhu,jiwe la kilo tano lazma lifanyiwe maneuver ili so,kilo zitakazoingia kwenye mfuko wa mteja ni kg 4 badala ya tano hapo ni pamoja na malapulapu
6. Ni walevi sana, wanatumia fedha zote wakiamini kesho watapiga ndonga
7. Baadhi yao wanajipenda sana na wengine ni wachafu sana na wanapenda sana kuvaa viatu vikubwa
8. wengi wao ni wavuta mabangi (Bob Marley sticks) sana
9. Ugomvi wao ni wakukatana na mapanga,na akikukata na panga lazma ufe au upate ulemavu wa kudumu
Wakuu, hizo ndzo tabia za wauza nyama (hasa wa Dar), karibuni sana povu!
Straight 4ward to the topic; naomba leo tufanye ku-share tabia au vituko vya wauza nyama wote Tanzania nzima...,lkn mm nitaelezea vituko vya wauza nyama wa Dar kwa kuwa nawafaham vizuri na nilishawahi kufanya kazi ya kuuza nyama kwa nyakati tofauti tofauti ( hasa fillet,nilikuwa nakusanya fillet kwenye makalo ya mazizini,bucha za Buguruni sokoni, makalo ya Tegeta, Bucha za Manzese, Mbezi Louis na Bucha za Kibamba CCM... Na mizunguko yote hyo nilikuwa nikiifanya ndani ya siku moja so,hawa wauza nyama wa Dsm nawafaham vzur sana) hizi ndzo Tabia/vituko vyao;
1. Matusi kwao ni sehemu ya mawasiliano,kwa mfano siku moja nikiwa nimeenda mahali kukusanya fillet kuna Mzee alikuwa anapiga story na vijana na akaulizwa na hao vjana "Mzee una mke?"...." aliwajibu "Sasa kama sina mke huwa namt*mb* nani"
Kiukweli hawa majamaa wanapenda sana matusi na huwa hawatumii lugha ya kistaarabu
2. Ni wazinzi kupindukia, wao hawabagui awe ni mke wa mtu, house girl, Binti, Mama mtu mzima au Kikongwe akilegeza lazma mpira uingie kwenye nyavu...daima usije mtambulisha ndguyo wa kike au mkeo kwa muuza nyama...,wao hawana ushemeji wanakulaga
3. Hawaheshimu vitu vya watu kama vile fedha,mfano muuza nyama akiuza buchani kwako na ukimwambia "nenda ukalale na mauzo utaniletea kesho" ataenda kunywea fedha (mauzo) zote na kesho ukimdai atakuwa mkali kama shoka ya kukatia nyama
4. Hawana nyuso zenye aibu (hawana staha),mfano unaweza kumkamata ugoni kwa mkeo akakukimbia lkn kesho atakuja kuomba kazi ya kuuza bucha tena kwa matusi na hawana neno 'nisamehe'
5. Ni matepeli na ni wezi waliokubuhu,jiwe la kilo tano lazma lifanyiwe maneuver ili so,kilo zitakazoingia kwenye mfuko wa mteja ni kg 4 badala ya tano hapo ni pamoja na malapulapu
6. Ni walevi sana, wanatumia fedha zote wakiamini kesho watapiga ndonga
7. Baadhi yao wanajipenda sana na wengine ni wachafu sana na wanapenda sana kuvaa viatu vikubwa
8. wengi wao ni wavuta mabangi (Bob Marley sticks) sana
9. Ugomvi wao ni wakukatana na mapanga,na akikukata na panga lazma ufe au upate ulemavu wa kudumu
Wakuu, hizo ndzo tabia za wauza nyama (hasa wa Dar), karibuni sana povu!