Sio miguuni??
Ghafla nimehisi vibaya ulivyo sema, umenifanya nifikirie kuhusu maisha nayoishi hapa duniani. Kuna muda huwa nafikiria, hivi nikifa sijui nitasema nini uko nikienda, namuomba Mungu niweze kuishi kama kusudio lake.Sio miguuni??
Maana bro angu wakati anaelekea kufariki alimwambia mshua anasikia baridi kali sana linapanda kuanzia miguuniπππ£
Ukishikwa shikamana! πππΏββ
Vimbaumbau kwa roho mbaya dah!
Kama siyo Msukuma basi hakuna kesi hapo! π¬