Tajiri Sinabay
JF-Expert Member
- Dec 25, 2024
- 1,333
- 3,619
Duh kwani linasikitisha sana?Unaonaje ukibadilisha hiyo ID yako? Kwa nini unajiita Kijana Masikini? Iondoe bana unless kama unaamini kuwa utabakia masikini daima!
Ina maana na simu zote hizi za mikopo bado unalalamika mambo ya simu?acha basi🙄🙄🙄fuata ushauri wa kakaDuh kwani linasikitisha sana?
Nimeifatilia jf mda mrefu sana kwenye kiswaswadu kinacho aplay operamini huku nikitamani kupata kifaa kitakacho niwezesha kujiunga na jf kwahiyo kwavile umasikini/uchache wa kipato umeniweka kando na jf muda mrefu acha tu nitumie hii ID mkuu.
Unaongea tu kwa vile unaona hivi watu tunavyovimba huku kwenye dunia ya bando hujiwi uhalisia wa memba mmoja mmoja. Hii ID inaakisi uhalisia wa laifu langu jamani.Ina maana na simu zote hizi za mikopo bado unalalamika mambo ya simu?acha basi🙄🙄🙄fuata ushauri wa kaka
Ibadilishe.Duh kwani linasikitisha sana?
Nimeifatilia jf mda mrefu sana kwenye kiswaswadu kinacho aplay operamini huku nikitamani kupata kifaa kitakacho niwezesha kujiunga na jf kwahiyo kwavile umasikini/uchache wa kipato umeniweka kando na jf muda mrefu acha tu nitumie hii ID mkuu.
Jägermeister ukiifakamia bila mpango unaweza kujishushia mzigo. Walevi wengi huwa wanainywa kwa step...Yaani namwambiaga Labella kila siku hiyo pombe yake nikiiona chupa yake tu nasikia mawenge...😅😅😅sijawahi kuitest ila naiogopa.....mdogo wangu kasema hennessy halewi
Mkuu acha tu ibaki hivyo hadi pale nitakapopata wazo jipya, ila shukrani kwa ushauri wako kwa sababu umefanya hata niwaze kwamba kuna muda nitalipata hilo wazo jipya lenyewe.Ibadilishe.
Nakusihi sana!
Kamwe usijitamkie mabaya wala kujipa majina yasiyo na mibaraka; na yenye kukata tamaa. Maana ujionavyo ndivyo ulivyo; na ndivyo utakavyokuwa.
Dunia hii ni katili; na hakuna atakayekuhurumia maana maisha yako ni jukumu lako wewe mwenyewe 100%.
Badilisha hilo jina. Wewe si kijana masikini. Jiite hata Kijana Anayejitafuta au Kijana Mpambanaji...
Badilisha mtazamo wako!
Mimi nakataa!
Wewe siyo kijana masikini!
Nakwambia bora uwe mfungwa ulaya kuliko prezident africaEm ngoja kwanza, kwahiyo ulaya wafungwa huwa na simu zao vyumbani?
Hawa walivyokuwa waropokaji soon watasema bodaboda wote ni mambususu
Aise kama kuna mtu dunia hii ana furaha kuliko wote huyu mswati kwa kweli full furaha. Alafu jamani nipe i ramani ya kufika eswatini nikale totoz za mbabane na manzini
Sirudshi aseee! Weee 🤨
Mbona naona mangorongonjo!? Mnh!Picha hizi ni za Cy Twombly, mmoja wa wasanii wa kisasa wa gharama kubwa zaidi. Picha zake za uchoraji zinaanzia $2 million hadi $75 million 😮🤯View attachment 3195062
Duh naona unazidi kuniweka mbali na jagermeister!😅😅😅😅 Labella njoo kuna mkemia huku katoa formula ya weekendJägermeister ukiifakamia bila mpango unaweza kujishushia mzigo. Walevi wengi huwa wanainywa kwa step...
Mwambie kwenye Hennessey adondosheemo vishoti vya Jameson. Dakika 10 hamalizi atakuwa keshawaka! 😁
Sasa hapo kuna picha kweli au tunatanianaPicha hizi ni za Cy Twombly, mmoja wa wasanii wa kisasa wa gharama kubwa zaidi. Picha zake za uchoraji zinaanzia $2 million hadi $75 million 😮🤯View attachment 3195062
Watakwambia u dnt understand artMbona naona mangorongonjo!? Mnh!
Hapo unachingulia tako la sanamu ya mrembo 🤣🤣🤣🤣
Kha! Wizi huo. Haipensezi kwa weye mremboSirudshi aseee! Weee 🤨