Ila jambo zuri ingawa wanakosoa hicho kizungu cha Diamond wao wenyewe Kiswahili hawakijui.
😹😹😹 Tatizo Hennessy nikinywa naanza kumtafuta dear ex tugombane..!!Yaani namwambiaga Labella kila siku hiyo pombe yake nikiiona chupa yake tu nasikia mawenge...😅😅😅sijawahi kuitest ila naiogopa.....mdogo wangu kasema hennessy halewi
Kaka acha uongo basi 😹😹😹Jägermeister ukiifakamia bila mpango unaweza kujishushia mzigo. Walevi wengi huwa wanainywa kwa step...
Mwambie kwenye Hennessey adondosheemo vishoti vya Jameson. Dakika 10 hamalizi atakuwa keshawaka! 😁
Nchi nyingi za Ulaya kifungo ni kuzuiwa tu na kukosa baadhi ya mambo, lakini wafungwa hupata huduma kadhaa za kibinadamu tofauti na nchi zetu hizi.Em ngoja kwanza, kwahiyo ulaya wafungwa huwa na simu zao vyumbani?
Jongoo inalamba maji.
Beba mbege na mavyombo yote, ndiyo si unakojoa ndani.
Ili ukojoe ndani, beba mbege, si ndio????Beba mbege na mavyombo yote, ndiyo si unakojoa ndani.