Vituko mitandaoni. Tupia chako
Mimi haushuki 😀
Mwanaume ni apambane tatizo lenu mnapenda kulelewa sana sikuhiz hat huwez kujua Hana kweli au anadanganya
Hamnaga utam wa mwanamke ambao haushuki kama ilivyo uchumi wa mwanaume.
Wee acha kulalamika kuwa wanaume wanapenda kulelewa..wapo wanaume ambao wanataka kulea wanawake kama mke so wee watafute hao ila sasa nawe uwe tayari kwa standards zao
 
1732263133698.jpg
 
Hamnaga utam wa mwanamke ambao haushuki kama ilivyo uchumi wa mwanaume.
Wee acha kulalamika kuwa wanaume wanapenda kulelewa..wapo wanaume ambao wanataka kulea wanawake kama mke so wee watafute hao ila sasa nawe uwe tayari kwa standards zao
Sawa lkn wengi wanataka mwanamke awe na kitu pia hat km ni kidogo ndo maana mkitongoza swali Huwa unajishughulisha na nn mbona hamuuliz mengine km kweli nyie ni wahudumiaji wazuri
 
Sawa lkn wengi wanataka mwanamke awe na kitu pia hat km ni kidogo ndo maana mkitongoza swali Huwa unajishughulisha na nn mbona hamuuliz mengine km kweli nyie ni wahudumiaji wazuri
Ah sasa wee tulishakubalina kuanzia 2025 no dating broke ladies.
Lazima nawe uwe na kitu bwana haimaamishi kwamba ndio nikutegemee wewe bali inanionyesha kuwa unajua ugumu wa kusaka hela hivyo utathamini mihangaiko yangu ya kukutunza wewe mke wangu na watoto.
 
Back
Top Bottom