Vituko mitandaoni. Tupia chako
Screenshot_20250130_142036_Instagram Lite.jpg
 
Sii wanajidai wanajua sheria wakati sheria nambari wanai ni kumuheshimu mwanau me wako wao wanajidai kujua mengi

Acha wanawake wengine waseme yao....

Kasinde kama Kasinde binafsi mimi naheshimu libido ya kibabu changu kinachonikaza tuu, kama hako nayo na si kaka yangu au baba yangu..... atapata monkey smile 😬.

Pesa si sababu....

Kiburi ya kurithi si muzuri, kabla hujatamani kumkumbatia au kumtongoza chunguza kama hana kiburi ya kurithi 😏.

Asiyeelewa arudi shule kusoma.
 
Back
Top Bottom