Kwenye uhalisia wa maisha hii kitu huwa naifanya sana kwenye vyoo vya jumuiya.
Najua ni tatizo la saikolojia walau ubongo unapata amani kuwa nyash na sambusa viko salama. Na nikimaliza naflash hayo makaratasi yoteee na kuacha hali ya usalama kwa mtumiaji ajaye.
Ila ikitokea umebanwa huo mchakato huwa unafupishwa...😆😆😆
No wonder airport toilets have plenty of toilet papers.
Ila vile vya kuchimba dawa mabasi ya kwenda mkoani huwa namwaga nusu ndoo ya maji hapo naamini usalama upo kisha nachuchumaa kwa amani 😅.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.