Wee ebu nipigie pande kwa mrembo huyo alafu anaonekana toluuu ndio vitu vyangu hivyo

Mnyamwezi huyo, utawezana naye..???!πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Hawanaga mapumziko hao kikilia kipenga ni hadi half time na hakuna kuomba maji eeheheheheee πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.

Hana mambo mengi, utulize mpira tuu chenga kiasi, danadana kwa mbali, achia mashuti ya kutosha baada ya miezi tisa utakuwa na pacha 4 πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…. Jiandae dakika 90 na za nyongeza, penalti huwa haifiki hawanaga ushindani....πŸ€ΈπŸ€ΈπŸ€ΈπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒ.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…