Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari kaka
Huyu mbebwa kama waziri fulani vile?
Nyumba hutafutwa wakati wa masika siyo kiangazi.
Marahaba. Hujasombwa?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]morning my lovely sister... Shikamoo Dada
Afadhari sana.Nimehamia milimani dada.. Nimesalimika
Hizi fursa hutokea kwa nadra sana
Sure, the best moment everYaani huwa nikiona hilo tukio huwa nakuwa kama nimepigwa na shot ya umeme ya kVA 5000000000000