Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 182,097
- 1,099,383
🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Roba la bangeView attachment 3174136
Tatizo ni hilo ROBA.
Tunafundishwa kuwa mauti inaanzia unyayoni kuelekea kwenye koo😨😨Sio miguuni??
Maana bro angu wakati anaelekea kufariki alimwambia mshua anasikia baridi kali sana linapanda kuanzia miguuni😋😋😣
Fanya ibada, heshimu watu, jiepushe na vitu vya watu.Ghafla nimehisi vibaya ulivyo sema, umenifanya nifikirie kuhusu maisha nayoishi hapa duniani. Kuna muda huwa nafikiria, hivi nikifa sijui nitasema nini uko nikienda, namuomba Mungu niweze kuishi kama kusudio lake.
Ubaya ubwela 😂[emoji818][emoji818][emoji818]
View attachment 2122806