Vituko mitandaoni. Tupia chako
20241223_235120.jpg
 
Hebu Someni hiyo TAARIFA hapo 👇 h

Marehemu Wakili JOSEPH MASANJA “ALIDONDOKA” akiwa kwenye UKUMBI WA MAGEREZA. Halafu wakamuacha hapo kuanzia tarehe 22/12/2024 hadi tarehe 23/12/2024 WALIPOMPELEKA HOSPITALI baada ya kuona “HAAMKI”. Lakini FUVU LIMEPASUKA.🥲🥲
20241230_195828.jpg
 
Mnaharibu huu uzi, Nafikiri ulitakiwa kuwa wa vituko na vichekesho Miaka ya nyuma nilikuwa nikisoma huu uzi vichrko tu Nafurahi nimerudi leo Mnapost Siasa na Masuala mengine tofauti kabisa, Kausheni Unataka kumuongelea Mbowe,Lissu,Samia,Ccm,Chadema nenda kwenye jukwaa la Politics
Uzi wenyewe ànapost Mshana Jr ambaye ndo kauleta, kaishiwa vituko sàsa ànahangaika na habari za Facebook.
 
Hebu Someni hiyo TAARIFA hapo 👇 h

Marehemu Wakili JOSEPH MASANJA “ALIDONDOKA” akiwa kwenye UKUMBI WA MAGEREZA. Halafu wakamuacha hapo kuanzia tarehe 22/12/2024 hadi tarehe 23/12/2024 WALIPOMPELEKA HOSPITALI baada ya kuona “HAAMKI”. Lakini FUVU LIMEPASUKA.🥲🥲View attachment 3188746
Hizi taarifa bora wasiwe wanatoa tuu
 
Back
Top Bottom