Sasa kwa nani jomoni wakati hata bwana humu sina [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Itakua waliingiliana kwenye anga zao,ila mambembe alikuja kwa kasi haha sio kwa ile kasi,mwenyew anasema wiki tu nawapa presha,nikimaliza mwezi wote kimya humu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hakiii nakutangaza wakunyumba labda ufe na siri yako nitaandika thread hatimaye wakunyumba kaamua kuwa shemale
Hahahahaaa. Yani nachekaSasa shost mie hata sijui kuweka link, ila heading ni hapa: Nifanyeje Mat'ako' yasitingishike nitembeapo? Ukumbe hapo kwenye "makalio" kuweka hivyo vikoma koma huko juu mbele ya t na mbele o hahahahahahaahh. Andika tu hivyo halafu u search utakuja. hahahahahhaahaha.
Bff wangu yule[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] rafiki yake mzigua
Alete wapi na walimpa ban shoga angu jamaniHivi alileta mrejesho alikutana na huyo The List? hahahha. JF raha I swear
Ebu katafute hiyo thread ya matako unitumie link[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Na huyo ni nani tenaMama Jj a.k.a Bujilebujile
Jf rahaaaa sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ewaaaaa hivyo hivyo au jaman wanaume wenzangu naomba mnisaidie shemeji yenu analalamika nawahi haraka kukojoa khaaaaa watu wanayaweza ndio ya huyo mkaka dada tena me nilikuwa naelewana nae sababu ya thread zake anazoleta za mastory sasa hivi nabaki kumshangaa tu kuna siku nilimquote kwahiyo umeshabadirika jinsia umeshakuwa mwanamke tena hajanijibu nikamwambia ni jf pekee wanaume wanabadirika jinsia tokana na mazingira
Njoo uone ipo tayar wameshafukua [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Ebu katafute hiyo thread ya matako unitumie link
Niwekee link mdogo wangu mzuri mzuri si unajua vile nakupendaNjoo uone ipo tayar wameshafukua [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Asanteeeee jolieeeeee
Daaah,huo Uzi kipindi hiko nakumbuka nilikua napita jf kama guest member ,yan nilikua nachekaga kwenye huo uzi,,Sasa naposoma hapa nakumbuka mbal kwelhahaha,yaani kwenye hiyo ID yake alijiita giLESI eti ni mwanamke, kwa hiyo katika thread inayofurahisha ni hiyo zaidi na zingine, sasa mods sijui wakawa vipi wakaunga ID zake, sasa hapo ukimfikiria Bujibuji umjuaye, halafu uvute hisia kwamba alijifanya ni mwanamke, alikuwa anawasanifu watu na watu walitiririka kweli. ni uzi wa mwaka nadhani 2013 hahahahaha
Hahahahahaaa. Acha basi wifiiMama Jj a.k.a Bujilebujile
Jf rahaaaa sana
Mungu hiki ulichoandika umemaanisha nini? Sijapenda kwakweli hata kama ni mawazo yako tu lakini nadhani tuna mipakaDunia itatikisika siku Mshana jr akitangaza anatafute mume na anafanya kazi massage parlour ππππππ
nimejaribu kuwaza tu kwa sauti