Huyo ndo Gilesi mwenyewe hahah nahisi ndo mabembelelele huyoHahahahahaaa. Acha basi wifii
Muacheee kabis mme wangu tena omba radhiiDunia itatikisika siku Mshana jr akitangaza anatafute mume na anafanya kazi massage parlour 😀😀😀😀😀😀
nimejaribu kuwaza tu kwa sauti
Ila ukisalimiwa kila wakati si ndio bahati hiyo dada, wenzako wanaenda kwa waganga kisa hawasalimiwi njiani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sa nyingine unawapotezea tu huwajibu mijanaume ya humu ina maswali na salaam kila mara yakiingia pm
Nimecheka mpaka nimetoa machozi. Daah. Kwahiyo alitaka kuwachora wanaume wenzie pm au? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]naona kawa kama richabra,sijui yuko wapi sasahivi.Mm zaidi nilikua namwangalia huyo anayesema sijui na I'd mbili sijui nilimqote hata thread hajawahi anzisha yaan anataka kiki nitampa kiroho safi
Ebu tafuta na ya mama mchungaji
Bahati hiyo me siitaki mtu akitoka akirudi pm salaam hapana jamaniIla ukisalimiwa kila wakati si ndio bahati hiyo dada, wenzako wanaenda kwa waganga kisa hawasalimiwi njiani
Hahaha yan hujanfkia mm nmecheka walahNimecheka mpaka nimetoa machozi. Daah. Kwahiyo alitaka kuwachora wanaume wenzie pm au? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hakiii akanifanya nimuwaze richaabra[emoji23][emoji23][emoji23]naona kawa kama richabra,sijui yuko wapi sasahivi.
Na picha lake lile la peramiho
Dah asante sana its alright nimeshtuka mnoBrother samahani sana nimetania tu, I'm very sorry brother
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ngoja nikaendelee ina pages nyingi nimeona uvivuHahaha yan hujanfkia mm nmecheka walah
Afu kuna sehem akaja na akaunt yake real na ye anampa ushaur gilesi hahaha nmechekaaaaaa
Kuendelea mbele nakuta mmoja mmoja anaanza kushtuka haha eti,kumbe ni mwanaume dah!!!
Babu asprin nae kumbe alizama pm kwenda kumtongoza gilesi
Hatukujua,walichambana na uzi ukafungwaHivi alileta mrejesho alikutana na huyo The List? hahahha. JF raha I swear
Dada nahuja yuko vizur ndo kanifungua machoooEbu tafuta na ya mama mchungaji
Its alright usijali.. Kuna kupitiwa pia... Asante kwa welediNaomba tu ufte hiyo post,nimeshaifuta, samahani kwa usumbufu ulijtokeza kwako na familia yako,
[emoji182][emoji182][emoji182][emoji182][emoji182]Dah asante sana its alright nimeshtuka mno
Pamoja daimaasante brother