Vituko ndani ya JamiiForums

yaan kanikera kweli embe hili halichuchiki atafute mwembe mwengine mekuelewa kak[emoji120] [emoji120]
 
Mim sasa nkaanza kuwahadthia watu hata hawaijui jf,walicheka tu lkn naona walicheka kunsapot tu sidhan kama wamenielewa na gilesi wetu
Kuna mmoja kaniona nacheka mpaka na yeye akaanza kucheka. Nikamuhadithia na ndo muda yule Yaka nini sijui ndo katuma anaulizia kama yamekaza basi kacheka.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji38] [emoji38] [emoji38] Yeuwiiii Umenifurahisha kwa kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…