Vituko ndani ya JamiiForums

Vituko ndani ya JamiiForums

Loooh ndo mnaanza kuniambia kuna siku nitakuwa mwanaume mniombe radhi kwa niaba ya mme wangu kipenzi anayenipenda kuliko mwanaume yeyote jf
Nichosema nikuwa unakula mema ya mshana ful kubebishwa.

Hayo mengine nadhani sihusiki By the way Maneno yapo tu hata wakisema they won't change the fact that una kitumbua... Relaxxxx Mrs mshana ndo changamoto zenyewe hizo as longo as umeamua kuweka mambo wazi humu... Kawaida sana hayo na expect zaidi ya hayo



Cc Smart911
 
Kituko kimoja ambacho kiliniacha hoi ni cha member mmoja kusema kuwa hawez kupanda daladala, wakati anapoishi hata gari haliwezi kuingia
Uwiii.. aibu ya mwaka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
 
JamiiForums ni sehemu ambapo tunapata habari, tunaelimika, tunaburudika na hata stress wakati mwingine. Pamoja na faida zote na hasara hizo ila baadhi ya member wana vituko na kubadirika kama vinyonga.

Leo utasikia mtu anamshukuru mungu kwa kupata watoto mapacha kesho anakwambia ana bikira, leo utasikia mtu akilalimika picha za mke wake zimerushwa mitandaoni kesho unasikia anatafuta mume, leo utasikia mtu mwanae anaumwa kesho anakwambia hajawahi zaa toka azaliwe..

Leo analalamika wanaume wote aliowapata sio waaminifu kesho hajawahi tongozwa tokea avunje ungo basi ili mradi vituko juu ya vituko..

😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
😀 😀 😀 Utafika tu najua endelea kuzunguka mbuyu
 
Kuna mtu humu anaitwa Giresi aliwahi kuja na uzi ana makalio makubwa mpaka anashindwa kutembea!Uzi ukafika page 200+ Moderator wakiwa kwenye zoezi la kuunga multiple ID ile ID ya uzi ikaungwa na mwanaume mmoja star sana humu JF

Bujibuji alimmaindi sana huyo mleta uzi
Kuna siku nilifatiria uzi fulani sasa mtu wa kwanza kucomment akawa Bujibuji lakini ukienda comment ya 4 hivi mwingine akawa kamquote buji sasa tatizo hiyo quote imeandikwa Mama jj badala ya Buji nikaona haya macho na vyuma hivi isije ikawa grease yake imeisha yameshindwa kusoma vizuri!..
Lakini buji alikuwa ana Id fulani nikiikumbuka ntaitaja!
 
Back
Top Bottom