Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,453
Loooh kaka na wee kwa chumvi hujambo shikamoooooAithee Umemwita Jina Nzur Kiasi Kwamba Mshana Huko Alipo Ameshutaka Gafla
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Loooh kaka na wee kwa chumvi hujambo shikamoooooAithee Umemwita Jina Nzur Kiasi Kwamba Mshana Huko Alipo Ameshutaka Gafla
Aisee katoto hakapupu eti aahJuzi ulisema wewe ni bikira leo umeibuka na uzi kuwa mtoto wako wa miezi sita ana tatizo la kupupu!
Loooh ndo mnaanza kuniambia kuna siku nitakuwa mwanaume mniombe radhi kwa niaba ya mme wangu kipenzi anayenipenda kuliko mwanaume yeyote jfHahahahaha bidada Yupo kula mema ya mshana tu hana habariiiiiiiii ni kubebishwa tu chezea mshana wewee [emoji23] [emoji23]
Cc Smart911
Makopa makopa forever..
Honeymoon imeisha?Loooh ndo mnaanza kuniambia kuna siku nitakuwa mwanaume mniombe radhi kwa niaba ya mme wangu kipenzi anayenipenda kuliko mwanaume yeyote jf
Nichosema nikuwa unakula mema ya mshana ful kubebishwa.Loooh ndo mnaanza kuniambia kuna siku nitakuwa mwanaume mniombe radhi kwa niaba ya mme wangu kipenzi anayenipenda kuliko mwanaume yeyote jf
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Honeymoon imeisha?
[emoji42] [emoji42] [emoji42] [emoji42] [emoji42] [emoji42] [emoji42][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uwiii.. aibu ya mwaka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Kituko kimoja ambacho kiliniacha hoi ni cha member mmoja kusema kuwa hawez kupanda daladala, wakati anapoishi hata gari haliwezi kuingia
Nimejieka mwenyewe sasa maana ile ilikua inawadanganyaturejeshee avatar Yetu aiseee hii mpka uichunguze sana ndio unagundua kuwa huo ni msambwanda ...""" tunanyimana raha makusudi aiseeee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bosslady na Mali za urithi.watu walitaka kumchuna Dada wa watu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Loooh kaka na wee kwa chumvi hujambo shikamooooo
Eehe nasikia jana mambo yalikuwa moto huo uzi wa chini kwanini ulifutwa sasa nilipitwaa asee
😀 😀 😀 Utafika tu najua endelea kuzunguka mbuyuJamiiForums ni sehemu ambapo tunapata habari, tunaelimika, tunaburudika na hata stress wakati mwingine. Pamoja na faida zote na hasara hizo ila baadhi ya member wana vituko na kubadirika kama vinyonga.
Leo utasikia mtu anamshukuru mungu kwa kupata watoto mapacha kesho anakwambia ana bikira, leo utasikia mtu akilalimika picha za mke wake zimerushwa mitandaoni kesho unasikia anatafuta mume, leo utasikia mtu mwanae anaumwa kesho anakwambia hajawahi zaa toka azaliwe..
Leo analalamika wanaume wote aliowapata sio waaminifu kesho hajawahi tongozwa tokea avunje ungo basi ili mradi vituko juu ya vituko..
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Unanisema mimi eehWengine wanacomment kama ke ukimuuliza anasema me mara leo akajiita woman somewhere nikasema lahaulaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna siku nilifatiria uzi fulani sasa mtu wa kwanza kucomment akawa Bujibuji lakini ukienda comment ya 4 hivi mwingine akawa kamquote buji sasa tatizo hiyo quote imeandikwa Mama jj badala ya Buji nikaona haya macho na vyuma hivi isije ikawa grease yake imeisha yameshindwa kusoma vizuri!..