BALENSIAGA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2019
- 3,353
- 5,800
Kituko kingine kimetokea mzumbe juzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuambie mkuu kuna niniKituko kingine kimetokea mzumbe juzi.
Mtoto Tobby alitia foraMimi nakumbuka mwaka 2009 nilienda kufanya interviewe kwa ajili ya kujiunga na jeshi la magereza, basi bwana mtoto wa bwana jela alikuwa anaitwa tobby sasa sijui tobby alipoenda kula chakula cha mchana akapitiwa na usingizi?🤔🤔🤔 Interview haikufanyika mpaka mtoto tobby alipopatikana.
Kumbe mrembo sio tuu kwamba una mguu wa bia...pia skonga imekaa vizuri.Nikiwaambia jpm alinyoosha nchi mnanitukana ooh mi mshamba oh what what.
Siku nilipokoma kwenda interview ilikuwa hivi.
Hr alinipigia akaniambia nijiandae kesho ni interview.
Huyo nikafika .siku hiyo sikulala nilisoma hadi asubuhi.
Kufika nikakuta interviews wako 8, watu wakaingia weeee na mimi nikaingia jumla tulikuwa 15 kumbe anatakiwa mmoja tu.
Basi wakaniuliza weee nikajibu mpaka natoka nilikuwa na %90 nimejibu sahihi.
Basi wakati wa kuondoka hr akaniita akanambia , luckyline najua umetoka chuo, hujafanya interview nyingi, nilikuita upate uzoefu ili siku nyingine ukiitwa sehem uweze kuwa na uzoefu zaidi.
Akaniambia nilikuita kwa sababu hauko mbali, nauli buku.kiukweli hutopata hii kazi atapata yule binti mlofatana ni mtoto wa one of the directors, ingawa umejibu vizuri ila ndo hivo.samahahi kukusumbua najua umejifunza kitu. nilikereeeeka mpaka basi.tangu siku hiyo sikuwahi kuomba kazi tena.
Jpm alivyoingia vyeti feki wakakaa chini. Si ndo sisi wenye vyeti vyetu vilivyonyooka tukaanza kuwa na thamani.?
2019 hapa ilikuwa ni cheti tu hakuna connection wala nini. 2019 nikapa kazi nilokuwa nataka, juzi nikaomba tena mule mule, cheti chako ndo dhamana yako nimepata tena.hii ndo kazi niliitamani hata kuliko ya kwanza.
Kazi inayotaka vyeti na ufaulu wa interview ndo kazi.
Ati wanaita watu elfu 2 kumbe wanataka 20 kweli? Upuuzi.
Makarani wa sensa mpoo?😀😀😀
Unapiga mishe gani mkuu? Maana kuna kazi wanabanwa kuliko hao walimuDah umenikumbusha mbali nishawahigi kuwa mwalimu.ila hii kazi ya ualimu watu wanaiwezaje? Siku naacha kazi hata sikuaga.nilikuwa nachukia hii kazi kuliko kitu chochote. Kazi unabanwa saa moja kali uwe kazini na usaini kitabu dah. Eti likizo nabaki shuleni hata kama hakuna wanafunzi kha!
Ualimu ni wito.
Napenda uhuru muda huu saa 6 mchana ndo naingia ofisin nitatoka muda ninaoutaka hakuna wa kuniuliza nilipo.asante mungu niliacha ualimu.
Mnaambiwa mwende posta mlambe stamp hii kazi ya kiume hamuiwezi utafkiri we mwanamke [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah mkuu inaonesha maisha yako ni interview tu mwanzo mwisho
Nimemaliza zangu fom foo 2012
Interview ya jeshi nilienda tukawa tunaitwa kwa makundi sasa kufika pale tunajiandaa kwa maswali (maana tulijinoa kweli kweli) nashangaa tunaulizwa tarehe za kuzaliwa huwezi amini tuliambiwa maneno makavu pale kila mmoja... binafsi niliambiwa umri umezidi siku 3 wengine mpaka siku moja
Ikawa kazi ni hiyo kila kundi linaloitwa mnapewa maneno hayo ya kukatisha tamaa mnaambiwa mkatafute shughuli ya kufanya au fani ya kusomea (ikumbukwe wale watu wao waliowakusudia walishaitwa mwanzo na maswali ya ki interview wakaulizwa)
Hao jamaa ni shida kipindi hicho mihani gas case kama hyo ilitukuta na mwanangu tena sisi tulipita kwenye usaili ila mwisho wa siku wakaweka ndugu zaoJuzi kati hapa kwenye mwezi wa 4 hivi mwaka huu, tuliitwa interview Taifa gas,walikua wanataka Business Development managers wawili.uzuri kwenye interview tulikua wawili na nafasi zinazotakiwa ni mbili pia.ila cha ajabu tukasikia wameajiri watu wengine tofauti na sisi tuliofanyiwa usaili.nikabaki kushangaa tu kwa kilichotokea.
Ila uzuri mmoja wa hizi kazi za kubebana madhara yake huwa yanaonekana mapema kabisa, efficiency ya kazi huwa ni zero kwenye taasisi husika.
Huu mkeka wako acha nicheze na namba pisi kali zipo hapa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Za juzi juzi tu hapa sensa pale kinyerezi.
Walioitwa zaidi ya elfu moja. Interview ilifanyika siku mbili. Jana matokeo yanatoka wasimamizi wa maudhui nafasi 5 na teham 1 tu
View attachment 2307059
Na kuna mwingine alienda kwenye Usaili wa Jeshi wakamwambia ainame apigwe tochi waone kama anamanyoya au hana hizi vijana wanapitia vipindi vigumu sana[emoji23][emoji23][emoji23]😀😀 jamaa yangu mmoja alienda kufanya usahili wa Polisi,aliambiwa wewe form 6 mzima unataka nafasi ya Polisi,hatutaki wasomi sisi
Pamoja na kuwaonesha maficho yako ya kutolea mbolea lakini Bado walikuacha dah inasikitisha sanaPoleni mno generation hii, mtaumia sana na dawa ni kupanua wigo wa kuhangaika, kipindi cha nchi Ina heshima na adabu kulifanyika interview ya vijana kwenda kujifunza urubani wa ndege za jeshi na ufundi (601 na 603 KJ),waliletwa wataalamu kutoka China waendeshe hii interview, ilikua fair na kuhuzinisha kama hukupita hata awamu ya kwanza, urefu na wengi waliishia pale ,na looo pia walichunguza kwa maumba kama ulishatembelewa!!kwenye tigo jamani tumepitia mengi hapa duniani
Dah ila mmestaafu na ujuzi mzuriNo mkuu intake ya late 80s,makutano mgulani Twalipo camp,vipimo Lugalo Hospital, marubani 601kj na mafundi 603kj
Kuna mtu Dada aliekaga mpaka kiwanja cha million 4 humu jukwaani. Huu mfumo ni mzito. Walahi tumekwishaAtakayenipa connection ya kazi za hotel au camps Serengeti, ngorongoro au camp yoyote porin mshahara wangu wa kwanza tunagawana
Acha upumbavu weka fact hapa ya kuwa niliachwa?,tatizo la dot.com mmechanganyikiwa na hamuachi kulalama hadi vikazi vya muda vya sensa, for your information I did flew F6,acha upumbavu next timePamoja na kuwaonesha maficho yako ya kutolea mbolea lakini Bado walikuacha dah inasikitisha sana
Juzi kati hapa kwenye mwezi wa 4 hivi mwaka huu, tuliitwa interview Taifa gas,walikua wanataka Business Development managers wawili.uzuri kwenye interview tulikua wawili na nafasi zinazotakiwa ni mbili pia.ila cha ajabu tukasikia wameajiri watu wengine tofauti na sisi tuliofanyiwa usaili.nikabaki kushangaa tu kwa kilichotokea.
Ila uzuri mmoja wa hizi kazi za kubebana madhara yake huwa yanaonekana mapema kabisa, efficiency ya kazi huwa ni zero kwenye taasisi husika.
[/QUOTE
Hawa jamaa ndiyo tabia zao,Kampuni hizi zenye waswahili wenzetu huwa na urasimu sana.
Kama unakuta nafasi zenyewe wanapata kimagumashi, wanazuiaje hiyo rushwaHalafu TAKUKURA wanafahamu hiyo inshu yote si ndiyo?