Vituko nilivyowahi kuviona kwenye sahili (interviews) vya kukatisha tamaa

Vituko nilivyowahi kuviona kwenye sahili (interviews) vya kukatisha tamaa

Mimi nakumbuka mwaka 2009 nilienda kufanya interviewe kwa ajili ya kujiunga na jeshi la magereza, basi bwana mtoto wa bwana jela alikuwa anaitwa tobby sasa sijui tobby alipoenda kula chakula cha mchana akapitiwa na usingizi?🤔🤔🤔 Interview haikufanyika mpaka mtoto tobby alipopatikana.
Mtoto Tobby alitia fora
 
Nikiwaambia jpm alinyoosha nchi mnanitukana ooh mi mshamba oh what what.

Siku nilipokoma kwenda interview ilikuwa hivi.

Hr alinipigia akaniambia nijiandae kesho ni interview.
Huyo nikafika .siku hiyo sikulala nilisoma hadi asubuhi.
Kufika nikakuta interviews wako 8, watu wakaingia weeee na mimi nikaingia jumla tulikuwa 15 kumbe anatakiwa mmoja tu.
Basi wakaniuliza weee nikajibu mpaka natoka nilikuwa na %90 nimejibu sahihi.

Basi wakati wa kuondoka hr akaniita akanambia , luckyline najua umetoka chuo, hujafanya interview nyingi, nilikuita upate uzoefu ili siku nyingine ukiitwa sehem uweze kuwa na uzoefu zaidi.

Akaniambia nilikuita kwa sababu hauko mbali, nauli buku.kiukweli hutopata hii kazi atapata yule binti mlofatana ni mtoto wa one of the directors, ingawa umejibu vizuri ila ndo hivo.samahahi kukusumbua najua umejifunza kitu. nilikereeeeka mpaka basi.tangu siku hiyo sikuwahi kuomba kazi tena.

Jpm alivyoingia vyeti feki wakakaa chini. Si ndo sisi wenye vyeti vyetu vilivyonyooka tukaanza kuwa na thamani.?

2019 hapa ilikuwa ni cheti tu hakuna connection wala nini. 2019 nikapa kazi nilokuwa nataka, juzi nikaomba tena mule mule, cheti chako ndo dhamana yako nimepata tena.hii ndo kazi niliitamani hata kuliko ya kwanza.
Kazi inayotaka vyeti na ufaulu wa interview ndo kazi.
Ati wanaita watu elfu 2 kumbe wanataka 20 kweli? Upuuzi.

Makarani wa sensa mpoo?😀😀😀
Kumbe mrembo sio tuu kwamba una mguu wa bia...pia skonga imekaa vizuri.
Hongera sana.
 
Dah umenikumbusha mbali nishawahigi kuwa mwalimu.ila hii kazi ya ualimu watu wanaiwezaje? Siku naacha kazi hata sikuaga.nilikuwa nachukia hii kazi kuliko kitu chochote. Kazi unabanwa saa moja kali uwe kazini na usaini kitabu dah. Eti likizo nabaki shuleni hata kama hakuna wanafunzi kha!

Ualimu ni wito.

Napenda uhuru muda huu saa 6 mchana ndo naingia ofisin nitatoka muda ninaoutaka hakuna wa kuniuliza nilipo.asante mungu niliacha ualimu.
Unapiga mishe gani mkuu? Maana kuna kazi wanabanwa kuliko hao walimu
 
Dah mkuu inaonesha maisha yako ni interview tu mwanzo mwisho

Nimemaliza zangu fom foo 2012

Interview ya jeshi nilienda tukawa tunaitwa kwa makundi sasa kufika pale tunajiandaa kwa maswali (maana tulijinoa kweli kweli) nashangaa tunaulizwa tarehe za kuzaliwa huwezi amini tuliambiwa maneno makavu pale kila mmoja... binafsi niliambiwa umri umezidi siku 3 wengine mpaka siku moja

Ikawa kazi ni hiyo kila kundi linaloitwa mnapewa maneno hayo ya kukatisha tamaa mnaambiwa mkatafute shughuli ya kufanya au fani ya kusomea (ikumbukwe wale watu wao waliowakusudia walishaitwa mwanzo na maswali ya ki interview wakaulizwa)
Mnaambiwa mwende posta mlambe stamp hii kazi ya kiume hamuiwezi utafkiri we mwanamke [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Juzi kati hapa kwenye mwezi wa 4 hivi mwaka huu, tuliitwa interview Taifa gas,walikua wanataka Business Development managers wawili.uzuri kwenye interview tulikua wawili na nafasi zinazotakiwa ni mbili pia.ila cha ajabu tukasikia wameajiri watu wengine tofauti na sisi tuliofanyiwa usaili.nikabaki kushangaa tu kwa kilichotokea.
Ila uzuri mmoja wa hizi kazi za kubebana madhara yake huwa yanaonekana mapema kabisa, efficiency ya kazi huwa ni zero kwenye taasisi husika.
Hao jamaa ni shida kipindi hicho mihani gas case kama hyo ilitukuta na mwanangu tena sisi tulipita kwenye usaili ila mwisho wa siku wakaweka ndugu zao
 
😀😀 jamaa yangu mmoja alienda kufanya usahili wa Polisi,aliambiwa wewe form 6 mzima unataka nafasi ya Polisi,hatutaki wasomi sisi
Na kuna mwingine alienda kwenye Usaili wa Jeshi wakamwambia ainame apigwe tochi waone kama anamanyoya au hana hizi vijana wanapitia vipindi vigumu sana[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Poleni mno generation hii, mtaumia sana na dawa ni kupanua wigo wa kuhangaika, kipindi cha nchi Ina heshima na adabu kulifanyika interview ya vijana kwenda kujifunza urubani wa ndege za jeshi na ufundi (601 na 603 KJ),waliletwa wataalamu kutoka China waendeshe hii interview, ilikua fair na kuhuzinisha kama hukupita hata awamu ya kwanza, urefu na wengi waliishia pale ,na looo pia walichunguza kwa maumba kama ulishatembelewa!!kwenye tigo jamani tumepitia mengi hapa duniani
Pamoja na kuwaonesha maficho yako ya kutolea mbolea lakini Bado walikuacha dah inasikitisha sana
 
Atakayenipa connection ya kazi za hotel au camps Serengeti, ngorongoro au camp yoyote porin mshahara wangu wa kwanza tunagawana
Kuna mtu Dada aliekaga mpaka kiwanja cha million 4 humu jukwaani. Huu mfumo ni mzito. Walahi tumekwisha
 
Pamoja na kuwaonesha maficho yako ya kutolea mbolea lakini Bado walikuacha dah inasikitisha sana
Acha upumbavu weka fact hapa ya kuwa niliachwa?,tatizo la dot.com mmechanganyikiwa na hamuachi kulalama hadi vikazi vya muda vya sensa, for your information I did flew F6,acha upumbavu next time
 
Juzi kati hapa kwenye mwezi wa 4 hivi mwaka huu, tuliitwa interview Taifa gas,walikua wanataka Business Development managers wawili.uzuri kwenye interview tulikua wawili na nafasi zinazotakiwa ni mbili pia.ila cha ajabu tukasikia wameajiri watu wengine tofauti na sisi tuliofanyiwa usaili.nikabaki kushangaa tu kwa kilichotokea.
Ila uzuri mmoja wa hizi kazi za kubebana madhara yake huwa yanaonekana mapema kabisa, efficiency ya kazi huwa ni zero kwenye taasisi husika.
[/QUOTE
Hawa jamaa ndiyo tabia zao,Kampuni hizi zenye waswahili wenzetu huwa na urasimu sana.
 
Naombeni kujua utofaut kati ya mechanical engineer na ile mechanical and marine engneer
 
Back
Top Bottom