The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Ndio kushindwa kwenyewe huko.Haijashindwa kumkata, kuna uwezekano mkubwa RSF walikuwa wanamkingia kifua kwa sababu angewaunganisha nao katika jinai zake, RSF ndio walikuwa mkono wake muhimu kufanya uhalifu wake, hawezi kufungwa yeye makamanda wake wakabaki salama.
Tupo wengi mkuu , always madictator huhit kuliko wasanii ila wakifulia bas utahis kama kafa sabab umezoea msikiaHuyu mwamba record zangu kichwan cku zote namchukulia km alishakufa, cjui kwa nn hyu Mzee namwona km alishatangulia mbele ya haki
Taarifa zasema Al bashir alihamishiwa kwenye hospitali ya kijeshi kabla mapigano hajaanza.Grereza la Kober analoshikiliwa aliyekuwa rais wa Sudan,Omar Albashir limevunjwa na mahabusu wote kukimbia. vikundi vinavyopigana kila kimoja kinaonesha kutokuwa na uhakika wa sehemu alipo kiongozi huyo wa zamani anayetafutwa na ICC.
jeshi la Sudan chini ya generali Burhani limesema kiongozi huyo walimuhamisha mapema kumpeleka hospitali ya jeshi kweny ulinzi mkali. wakati huo huo upande wa generali Dagalo umesema jeshi hili limemtorosha ili kumrudisha madarakani.
Mmoja wa mahabusu hao wanaotafutwa na ICC aitwaye Ibrahim anasema baada ya gereza hilo kupigwa na makombora na kukosa huduma za chakula na maji ilibidi yeye na wenzake waondoke kwa ajili ya usalama wao..Hata hivyo hakumtaja Omar Albashir kuwa alikuwa miongoni mwao.Amesema yeye amependa ajisalimishe kwenye kituo chochote cha polisi lakini vituo vyote amekuta havifanyi kazi.
Video moja ya mtandaoni imewaonesha mahabusu hao wakiwa wamebeba mikoba yao kuingia mitaani baada ya gereza hilo kuvunjwa.
Na hata vikosi vya Burhan vinasema ndio waliolivunja hilo gereza na wakakuta hakuna Albashiri.Taarifa zasema Al bashir alihamishiwa kwenye hospitali ya kijeshi kabla mapigano hajaanza.
Jeshi lilikuwa limepata taarifa za kijasusi kuwa Bashir alikuwa target na vikosi vya RSF.
Kuna point unajuta kwanin umekua mwafrika kuna mambo sis ngozi nyeusi sis tunafanya ya hovyo sana
Europe ndo inayofanya Africa iwe hvyo ilivyo , hata viongozi wako wa nchi wanakuchagulia , na ikitokea amepenya mzalendo watafanya kila waliwezalo apotee , mambo sio marahisi kama unavyofkria , cha msingi we komaa na wanao uwapatie maisha Bora Kwa mda wako mfupi dunianiHapana angalia inchi za afrika hali ilivyo na inchi za watu weupe hawako perfect ila wako mbali sana tofauti na mwafrika
Yaan mwafrika ni mtu anayependa shortcut, mbinafsi, conman, na ana upeo mdogo yaan anafikiria leo na sio kesho
Ni kweli tusipende kujisifu kwa kuwa ni waafrka, eti tunajipa aibisha, hapanaSio upuuzi angalia inchi za kiafrika zilivyo labda kwa sababu hujawah tembea nchi tofauti tofauti siku ukitembea utakubaliana na mim
Ukienda kwenye inch nyingi za western, china, south korea au japan utakacho kiona kule kupo organized, kusafi, wastaarabu, na mambo mengi yamenyooka njoo nchi za afrika hakuna mipango miji, kuchafu, yaan vurugu vurugu tunasafari ndefu sana waafrika
Nchi yoyote iliyoko barani Afrika raia wake ni Waafrika. Wanaweza kuwa Waafrika wa asili au waliohamia na kulowea katika bara la Afrika kutoka mabara mengine.Wasudani sio Waafrik mkuu ,hakuna Mwafrika mwenye roho za aina Ile...labda Waafrika walioiga tqmaduni zao!
PUMBAFUKuna point unajuta kwanin umekua mwafrika kuna mambo sis ngozi nyeusi sis tunafanya ya hovyo sana
SAsa Mungu kaleta neema gereza limevunjwa uendelee kukaa kwani kwako hapoKama limevunjwa na mahabusu wamekimbia basi na yeye amekimbia kama mahabusu wengine,au lilivunjwa kwa malengo ya kumuangalia yeye tu
Ndio uwezo wake wa kufikiri ulipogota.Kwamba kila asiyekua ngozi nyeusi au asiye kuwa mwafrika ndie anayefanya kwa usahihi kuliko wote?
jHii ya mfungwa kutafuta kituo cha polisi ajisalimishe inapendeza sana.Yaan Africa bhana eti mfungwa anatafuta kituo cha polis ajisalimishe Ila anakuta awafanyi kazi serious…. Embu toroka keko halafu uende sitaki shari kama utakuta jamaa hawapo utajuta
Hawakukaa.Wameonekana wamebeba mabegi yao wanaongozana mitaani.Wengi hata hawajui waende wapi.Ndio maana yule waziri wa zamani wa mambo ya ndani akatafuta kituo cha polisi ajisalimishe.SAsa Mungu kaleta neema gereza limevunjwa uendelee kukaa kwani kwako hapo
Israel na palestina vipi?Hapana angalia inchi za afrika hali ilivyo na inchi za watu weupe hawako perfect ila wako mbali sana tofauti na mwafrika
Yaan mwafrika ni mtu anayependa shortcut, mbinafsi, conman, na ana upeo mdogo yaan anafikiria leo na sio kesho
Yule afisa alikuwa ni kiongozi kwenye operation janjaweed ya kuwamaliza weusi kusiniHawakukaa.Wameonekana wamebeba mabegi yao wanaongozana mitaani.Wengi hata hawajui waende wapi.Ndio maana yule waziri wa zamani wa mambo ya ndani akatafuta kituo cha polisi ajisalimishe.
Inaonekana huyu jamaa hakuwa mtu mbaya.Ni mambo ya icc tu hayo kuacha watu waovu na kuwakandamiza wanyonge wa Afrika.Kama angekuwa ni mtu mbaya kweli basi angejulikana haraka na watu mitaani tena jijini Khartoum.wasingemuacha atembee na mkoba wake kwapani .
Na Magufuki alichaguliwa na Europe?Europe ndo inayofanya Africa iwe hvyo ilivyo , hata viongozi wako wa nchi wanakuchagulia , na ikitokea amepenya mzalendo watafanya kila waliwezalo apotee , mambo sio marahisi kama unavyofkria , cha msingi we komaa na wanao uwapatie maisha Bora Kwa mda wako mfupi duniani