Vituko Sudan: Omar Al Bashir hajulikani alipo

Wachambuzi wa mchongo mmeshafika.

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Yaan wewe kila kitu njama za wamarekani
Mkeo akiwa kiburi njama za Americans
 
Sawa Niko pale nasubir utimilifu wa hzo ndoto zako za alinacha
 
Usimsahau Mwalimu alituingiza vita pia
 
Wewe ni mpumbavu
 
Yule afisa alikuwa ni kiongozi kwenye operation janjaweed ya kuwamaliza weusi kusini
Unazungumza ujinga na hata ukipewa ushahidi unarudia lile lile.Hii ni dalili ya ushoga. Mtu mwenyewe mweusi halafu unasema alikuwa na kampeni ya kumaliza weusi.Kuhusu mgogoro wa Sudan mpaka nchi imemalizika wazungu wametuzuga sana. Kusudio lao ilikuwa ni kusambaratisha utawala wa sharia.
 
Mnapenda wapakazia wazungu
 
Jamaa yupo hai pamoja na wasaidizi wake waliokuwa wamefungwa wote gerezani. Baada ya vita kupamba moto kahamishiwa kwenye hospitali ya jeshi hapo hapo Khartoum
 
Rais Bashir hakua na mke wala mtoto, yeye aliwaza kuongoza nchi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…