Stavros Myles
JF-Expert Member
- Jun 7, 2020
- 350
- 390
Reception Nidaunamjibu tu hivi
"mama ako alinipea wakati tunatoka church akisema nikusalimie manake upo upo hakuelewi eti"
au
"nimetoa.kwenye daftali la madeni la gengeni mtaani kwenu"
au
"nimetoa.kwenye group la malaya"
au
"number si yako ni ya vodacom/tigo/airtel nimetoa huko "
ongezea na wewe majibu makali makali ya wanaouliza umetoa wapu number yangu[emoji16]
Sent from my vivo X6D using JamiiForums mobile app
Na wewe kwanini unaokota okota number za watuJamani jinsia hii ya ke ina mambo mazito mno, mtu tunajuana kwa sura tu na kwa bahati nzuri nimeinyaka namba yake hukoooo (.....mbali).
Tuna chat vizuri na convo inaendelea vizuri ila baada ya muda unakuta anakukazia
"namba yangu umeitoa wapi?, kakupa nani? ". Sasa kama hataki ku chat na mimi si apotezee tu, tukijibu tume "hack" watajibu nini hawa watu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Anyway hili swali linaboa mno, ila naamini nikitoboa kama Mmiliki wa Bloomberg sitakuwa hata na muda wa kutafuta namba [emoji23][emoji23][emoji23]
Naomba nije uniulize uso Kwa uso...
Hhaaha uso kwa uso nitakosa ujasir wa kukuulizaNaomba nije uniulize uso Kwa uso...
Nitakunyamazisha with a kiss...Hhaaha uso kwa uso nitakosa ujasir wa kukuuliza
Kwa hapo sasa njoo tumalizane piemuNitakunyamazisha with a kiss...
PM unanioneaga sana...Kwa hapo sasa njoo tumalizane piemu
Hhhaha maana tukikutana na wewe unanioneaga sanaPM unanioneaga sana...
Hakika lazima nikuonee maana utaanza dharau baadae...Hhhaha maana tukikutana na wewe unanioneaga sana
Nilikuwa nasingizia kanipa yeye mwenyewe ikitokea kaniuliza Hilo swali,Jamani jinsia hii ya ke ina mambo mazito mno, mtu tunajuana kwa sura tu na kwa bahati nzuri nimeinyaka namba yake hukoooo (.....mbali).
Tuna chat vizuri na convo inaendelea vizuri ila baada ya muda unakuta anakukazia
"namba yangu umeitoa wapi?, kakupa nani? ". Sasa kama hataki ku chat na mimi si apotezee tu, tukijibu tume "hack" watajibu nini hawa watu ππππ.
Anyway hili swali linaboa mno, ila naamini nikitoboa kama Mmiliki wa Bloomberg sitakuwa hata na muda wa kutafuta namba πππ
Hhahaha sina dharau jamanHakika lazima nikuonee maana utaanza dharau baadae...