Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #21
Wee siku fanya shopping then sema naenda kazini nitachelewa alafu zuga hata na camera moja mlangoni na sitting room
UTANISHUKURU
Mh sasa nikija kugundua mimi nahsira mbaya si unajua sisi watu wenye hasira za kulia mpaka nimuweke arama ndio natulia [emoji23][emoji23][emoji23]