Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #41
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mwachiluwi jamaa anataka ugeni
Ahahha akatibie juma pili kidogo sitoki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mwachiluwi jamaa anataka ugeni
Mi nina hamu na maziwa mgando fanya maujanja basi
Kazi yake nini mazima mgando?Mi nina hamu na maziwa mgando fanya maujanja basi
Humu humu😂Nikutumie wapi
Wahehe
Eeh jamani mbona hivyo nitumieni maziwa kwanza ndo nielezeeKazi yake nini mazima mgando?
Wahehe Punguzeni hii tabia [emoji23][emoji23]
Humu humu[emoji23]
Hata picha tu inatoshaSasa natumaje humu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kua makini na bodaboda wa hapo mtaani.Za mchana wapendwa
Nivumilieni sijui kuandika hila tutaelewana
kwangu nahishi na dada wa kazi kwasababu na watoto wadada zangu ambao nakaa nao hapa sasa huyu dada sikuiz amekuwa na vituko mpaka nashikwa na hasira
Mimi nilisomea mapishi kidogo kwasababu napenda kupika sasa juzi hapa nilikuwa na ugeni marafiki zangu walikuwa wanakuja home ikanibidi niwahi kuludi home nikiwa njiani nikapiga simu
Mimi: dada upo nyumbani naomba utoe nyama hapo kwenye friji sio hiyo nilioleta ijumaaa hile ya wiki iliopita naona itaharibika andaa vitu nakuja pika mwenyewe na wageni ndani safisha
Dada wakazi: sawa kaka nimekuelewa
Mimi : sawa na hao wakina p wakiludi waoge walale sitaki kukuta mtoto hajalal
Dada wa kazi: sawa kaka
Saa kumi na moja na nusu nafika nyumbani nikajianda kwa ajili ya kupika najuwa wageni watafika saa mbili usiku natoka chumban naenda jikon namwita dada vitu ulivyoa andaa viko wapi?
Dada wa kazi : nimemwaga si ulisema nyama hile ni mwage imekaa sana
Mimi: una akili timamu au na wewe zimeluka kidogo hivi hii ni akili yako nyama kilo mbili unamwaga hulihisi halufu yoyote ile ya kuoza?
Dada wa kazi: hapana mimi sikujua kaka nilikuwa nakusikia kwa mbali samahani
Mimi : kama samahani chakula chukua ulishe wageni watakao kuja nikatoka zangu nikaenda chumbani
Dada wa kazi: kaka nitoe mboga nyingine?
Mimi: acha upumbavu ww kata kachumbali utakula ugali hao wakina p na waletea chakula nikasepa
Sasa kesho yake tena nilienda huko kwa dada yangu akanipa mtindi dumu la lita tano akasema mdogo wangu ww najua unapenda mtindi nenda kwanywe
Naludi jioni ninywe mtindi naambiwa umeisha dah napatwa na hasira af siwezi kuongea sana namuangalia ty
Leo ndio amezidi kachelewa anaaza kupiga makelele nasukuma vitu ovyo ovyo ty siwezi mfukuza kwasababu watoto wanampenda sana na ndio mwangalizi mzuri kwa watoto lakini mda mwingine ananiboa sana zamani hakuwa hivi alikuwa anatumia vitu vizuri sasa now hapana amekuwa lafu sana af now uchumi kwangu umeyumba dah sijui nifanyeje