Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,336
- 4,731
Mko poa?
Salaam,
Jikoni kuna wakati yanatukia matukio jikoni wakati unapika mpaka unatamani unashangaa, mwenzenu nilimwaga mboga wakati napika ugenini kisa kapita panya na sikuwa najua kama nyumba ina panya.
Nimeaza kupika ile naipuka mboga Panya kakatiza nikaona mkia tu nikadhani nyoka nikaaruga mboga chini nikaanza kuwaza nifanye nini na nipo ugenini.
Mara paap akili ikaja nizoe mboga nioshe uzuri ilikuwa inaosheka, nikaanza kuzoa mara mwenyeji wangu kanikuta namalizia akaguna tu nikakosa hata cha kumwambia yeye ananishangaa mimi namalizia kuosha nikarudisha jikoni zikachemka nikaunga vizuri zikawa nzuri.
Baade nikamfata mwenyeji kumuomba msamaha kwa kumwaga mboga.
Salaam,
Jikoni kuna wakati yanatukia matukio jikoni wakati unapika mpaka unatamani unashangaa, mwenzenu nilimwaga mboga wakati napika ugenini kisa kapita panya na sikuwa najua kama nyumba ina panya.
Nimeaza kupika ile naipuka mboga Panya kakatiza nikaona mkia tu nikadhani nyoka nikaaruga mboga chini nikaanza kuwaza nifanye nini na nipo ugenini.
Mara paap akili ikaja nizoe mboga nioshe uzuri ilikuwa inaosheka, nikaanza kuzoa mara mwenyeji wangu kanikuta namalizia akaguna tu nikakosa hata cha kumwambia yeye ananishangaa mimi namalizia kuosha nikarudisha jikoni zikachemka nikaunga vizuri zikawa nzuri.
Baade nikamfata mwenyeji kumuomba msamaha kwa kumwaga mboga.