Restless Hustler
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 5,150
- 20,025
Sipajui mkuuMewahi sikia kuna mahala hapo mkoani kigoma panaitwa makaburi waziii, ivi ni kweli?
Kwa sababu bado sijamuombaNgoja kwanza ni nywele gani halafu mbona umemwita dada mkuu ni dada yako? Halafu dada yako ni mbabe
Sawaπ π π πNimeandika nimefuta Γ3.
Mpe iyo shale master.
Ngoja kwanza ni nywele gani halafu mbona umemwita dada mkuu ni dada yako? Halafu dada yako ni mbabe
Vinachekesha anayeomba sasa jamani hata kubembeleza imebidi muombaji amwite dada tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa si umuombe na we mpaka unaombwa hela ya kunyolea nyweleKwa sababu bado sijamuomba
π π π πSasa si umuombe na we mpaka unaombwa hela ya kunyolea nywele
Ticha na wewe hujaelewa kama mimi.Kwan nimeelewa sasa