Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaTicha na wewe hujaelewa kama mimi.
Em fanya hiyo adv ya mbembelezo.. fanya kama ndio wewe hapo sasa kuna kitu unaomba 😂Vinachekesha anayeomba sasa jamani hata kubembeleza imebidi muombaji amwite dada tu
Nimelala eti saivi🤣🤣🤣 mwanangu kanikumbata hayo maandishi nitayaona sasa🙄Km utojal
Kanywe chai uje kurudia kusoma
😂😂
Bila shaka itakuwa ni kasulu mjiniMewahi sikia kuna mahala hapo mkoani kigoma panaitwa makaburi waziii, ivi ni kweli?
halafu ukute kanapenda outing, hela, na vinywaji vikaliiKudate na wasichana wasiozidi miaka 20 kazi Sana.