Vituko vya kwenye Daladala

Vituko vya kwenye Daladala

[emoji23][emoji23]asee
nilipigwa ki pepsi cha mdomo katka purukushani, jamaa akawah akapata seat kuingia akaniomba msamaha akanipisha kwenye kiti akataka kunipa hela nikamwambia asihof, nashuka mawenzi mdomo km jaba naingia saloon wa dada wanacheka, nikatoka.
 
Back
Top Bottom