Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Ni wimbo wa Makongoro, nyimbo za Ngw'namila (Mwinamila), zilikuwa za Kisukuma.Hivi huu wimbo haukuwa wa Mzee Mwinamila kweli? Pascal Mayalla mtoto wa Police line hebu nisaidie. Maana hawa ni wa nyumbani kwenu
Asante sana. Halafu kuna ule wimbo wa kisukuma wa mwaka 1987 Sabasaba Shinyanga. Ukulima wa kisasa balimi mwangalile kwanza malali...Ni wimbo wa Makongoro, nyimbo za Ngw'namila (Mwinamila), zilikuwa za Kisukuma.
P
Heshima kwako mkuu nimekubali wewe ni maji ya kina kirefuMzee Makongoro alikuwa ni mwalimu wa Kwaya ya Vijana ya TANU ambayo ilivuma Sana kwa nyimbo za asili na nyimbo zake zilipata umaarufu mkubwa Sana miaka ya sabini na themanini kupitia vipindi mbalimbali vya redio kama TUIMBE SOTE na kipindi cha TUMBUIZO ASILIA kilichokuwa kikirushwa hewani na Radio Tanzania Dar es Salaam (RTD) na kikitangazwa na hayati Michael
View attachment 2041686
Huo wimbo ulikuwa wa Mzee Makongoro kweli (siyo Ng'winamila), ambaye baadaye aligongwa na madereva hao hao aliowaimba.Mzee Makongoro alikuwa ni mwalimu wa Kwaya ya Vijana ya TANU ambayo ilivuma Sana kwa nyimbo za asili na nyimbo zake zilipata umaarufu mkubwa Sana miaka ya sabini na themanini kupitia vipindi mbalimbali vya redio kama TUIMBE SOTE na kipindi cha TUMBUIZO ASILIA kilichokuwa kikirushwa hewani na Radio Tanzania Dar es Salaam (RTD) na kikitangazwa na hayati Michael
View attachment 2041686
Ni wimbo wa Makongoro, nyimbo za Ngw'namila (Mwinamila), zilikuwa za Kisukuma.
P
Aliwasimanga sana madereva kwenye wimbo huuHuo wimbo ulikuwa wa Mzee Makongoro kweli (siyo Ng'winamila), ambaye baadaye aligongwa na madereva hao hao aliowaimba.
Yaani kuja tena kuisikia hii classic imeniweka pahali yake.....nitaanza kuwapotezea....Mzee Makongoro alikuwa ni mwalimu wa Kwaya ya Vijana ya TANU ambayo ilivuma Sana kwa nyimbo za asili na nyimbo zake zilipata umaarufu mkubwa Sana miaka ya sabini na themanini kupitia vipindi mbalimbali vya redio kama TUIMBE SOTE na kipindi cha TUMBUIZO ASILIA kilichokuwa kikirushwa hewani na Radio Tanzania Dar es Salaam (RTD) na kikitangazwa na hayati Michael
View attachment 2041686
Unaendesha guta?Yaani kuja tena kuisikia hii classic imeniweka pahali yake.....nitaanza kuwapotezea....
Maana huwa wananitia hasira nakuwa na matusi njia nzima mpaka najisahau, na kuna siku nipo mama yangu mzazi kwenye gari yakanitoka matusi machafu na kushuka kutaka kumtoa mtu nyongo na bisibisi...
baadae nikajiona mjinga kabisa, sitasahau...
Aisee inahuzunisha sanaHuo wimbo ulikuwa wa Mzee Makongoro kweli (siyo Ng'winamila), ambaye baadaye aligongwa na madereva hao hao aliowaimba.
Mzee Makongoro alikuwa ni mwalimu wa Kwaya ya Vijana ya TANU ambayo ilivuma Sana kwa nyimbo za asili na nyimbo zake zilipata umaarufu mkubwa Sana miaka ya sabini na themanini kupitia vipindi mbalimbali vya redio kama TUIMBE SOTE na kipindi cha TUMBUIZO ASILIA kilichokuwa kikirushwa hewani na Radio Tanzania Dar es Salaam (RTD) na kikitangazwa na hayati Michael
View attachment 2041686
Hakuwasimanga, alichofanya ni kutumia kipaji chake cha usanìi kutunga wimbo (siku hizi mnaita nyimbo) baada ya hotuba ya Nyerere.Aliwasimanga sana madereva kwenye wimbo huu
Asante sanaHakuwasimanga, alichofanya ni kutumia kipaji chake cha usanìi kutunga wimbo (siku hizi mnaita nyimbo) baada ya hotuba ya Nyerere.
Maneno yote kwenye wimbo yalikuwemo kwenye hotuba ya Nyerere.
Hotuba nzuri sana kuhusu utunzaji wa mali za umma unayoweza kuipata TBC ukiihitaji.