Vikishaungua na kutoa harufu kwa majirani basi jiko linazimwa na kama nichai anakunywa au kama hamna cha kuliwa basi anapiga desh. Teh.Hahaaahh na kuna wale wanaokaanga vitunguu swaumu ili mjue wanapika pilau
Hahahhh.. Watu wana tabuVikishaungua na kutoa harufu kwa majirani basi jiko linazimwa na kama nichai anakunywa au kama hamna cha kuliwa basi anapiga desh. Teh.
Na mwisho wa siku maisha yanasonga.Ila sijajuaga nini inasababisha aisee.
Hahaaa. Ndio hivyo Mkuu. [emoji85] .Ha ha ha
Wacha kabisa Mkuu. Ni ile hali ya kutotaka kuonekana kwamba vizuri havipatikani nyumba ile. Hahahaaaa.Hahahhh.. Watu wana tabu
Kama arusha kuna uswahili mwingi sanaMikoani nako kuna uswahilini au hii ni kwa Dar tu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwanamke was kiswahili akitaka kumwambia mwanaume ni handsome utaskia tu
"Kwendraaa we huwezi kukosa girlfriend"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Arusha kuna sehemu inaitwaa Uswahilili mwisho wa haisi mademu wa kule wana matusi balaaa chali yanguKama arusha kuna uswahili mwingi sana
Ukipata majirani wa hivyo mshukuru Mungu, huku uswahilini kwetu ni mwendo wa kupiga chabo dirishani tu.Daah...! kuna wale ambao akisikia tu kuna sauti ngeni nyumba ya pili atafanya juu chini awaone, mara utaona anakuja kuzima hata visivyo azimika ili mradi tu awone wagen wangu🙁
Tembele mpaka la 50 majan manneUswahilini huwezi lala njaa, kuna mkate hadi wa mia mbili!!
Hahaaa. Ndio hivyo Mkuu. [emoji85] .
Karibu Uswahilini. Teh teh.
Hahaha na ile kuizimana mboga ukipata unarudishaUswahilini huwezi lala njaa, kuna mkate hadi wa mia mbili!!
Wapo vizuri sana,mimi napendaga wakiwa wanajiandaa na shughuli ya mwenzao na yale madela yao ya saresareUswahili pekee mademu huazimana nguo kwa ajili ya mtoko na wanajua balaa kupangilia pamba
Wana mapenzi ya dhati wanajua kupendeza unaweza jua huyu matawi ya juu akikupeleka sasa kwao utakimbia lakin kwenye kuvaa nawapa 100%
Karibu uswahilini tule miguu ya kuku na dagaa wamafungu[emoji1] [emoji1] [emoji1][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huku kwetu ndio mboga zetu hizo na utumbo jamaniKaribu uswahilini tule miguu ya kuku na dagaa wamafungu[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Hahaha utumbo ukiuchanganya na mboga za majani balaa mamiii....matajir wanakosa sana uhondo hahahahahaHuku kwetu ndio mboga zetu hizo na utumbo jamani
Wanakosa sanaaa wakaribie uswahilini hawatajuta ukiwa na buku tu unakulaHahaha utumbo ukiuchanganya na mboga za majani balaa mamiii....matajir wanakosa sana uhondo hahahahaha