Vituko vya maisha ya uswahilini

Habari za jioni wana JF.
Maisha ya uswahili yana shida sana.
Hii nimeiona huku kwetu, ofisini imefungwa Air Condition basi siku hizi kila mmoja wetu anataka iwashe.
Kinachoniacha hoi unakuta mtu anawasha AC na feni pia anawasha kwa pamoja.
 
Habari za jioni wana JF.
Maisha ya uswahili yana shida sana.
Hii nimeiona huku kwetu, ofisini imefungwa Air Condition basi siku hizi kila mmoja wetu anataka iwashe.
Kinachoniacha hoi unakuta mtu anawasha AC na feni pia anawasha kwa pamoja.
Ofisi gani hiyo inayofungwa AC pamoja na feni mkuu?
 
Habari za jioni wana JF.
Maisha ya uswahili yana shida sana.
Hii nimeiona huku kwetu, ofisini imefungwa Air Condition basi siku hizi kila mmoja wetu anataka iwashe.
Kinachoniacha hoi unakuta mtu anawasha AC na feni pia anawasha kwa pamoja.
Hiyo ofisi yenu inajihusisha na utoaji wa huduma gani?
 
Habari za jioni wana JF.
Maisha ya uswahili yana shida sana.
Hii nimeiona huku kwetu, ofisini imefungwa Air Condition basi siku hizi kila mmoja wetu anataka iwashe.
Kinachoniacha hoi unakuta mtu anawasha AC na feni pia anawasha kwa pamoja.
Kifaa chochote huwa na maelezo ya jinsi ya kutumia. Watumiaji waelimishwe, la sivyo ni uharibifu na vingine kuleta majanga kama ya Bukoba.
 
We unajuaje hapiki pilau kweli?
Vikishaungua na kutoa harufu kwa majirani basi jiko linazimwa na kama nichai anakunywa au kama hamna cha kuliwa basi anapiga desh. Teh.

Na mwisho wa siku maisha yanasonga.Ila sijajuaga nini inasababisha aisee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…