Nyumba tuliokuwa tunakaa,Nipo sebuleni kwenye meza napiga msuli kuna Jamaa kaingia na demu wake wanafanya yao halafu yule demu anatoa miguno na nyumba haina selling body haahaa sasa hapo kunasomeka unadhanHahahaaaa. Lol.
Ila kuna Vimaisha flani tulivyovipitia miaka ya nyuma vina raha yake banaaa. Watoto wa siku hizi hawavipati hivyo labda Uswahilini ila nyumba za mageti hizi wanachojua ni kuangalia katuni tu na kucheza games kwenye Pc. ππππ
Tulitaka tushuhudie wasichotaka tukioneHahahaaaa. Ila mlikuwa wabaya aiseeee.
Yaani hamkubali kupitwa kwa kujua yanayoendelea mtafanya juu chini mpaka mjionee. πππππ Duuh.
Hahahaaa. Hakuna kusomeka hapo Mkuu cha zaidi kama ulishakua basi anakuhamasisha tu na wewe ukajaribu hiyo kituπππNyumba tuliokuwa tunakaa,Nipo sebuleni kwenye meza napiga msuli kuna Jamaa kaingia na demu wake wanafanya yao halafu yule demu anatoa miguno na nyumba haina selling body haahaa sasa hapo kunasomeka unadhan
Sa hizi mkitoka hapo mnawachooora maana walijua hamjui yanayoendelea kumbe mnayo yote. ππππTulitaka tushuhudie wasichotaka tukione
Kwa kweli,Yani experience ya uswahilini inasaidia sana katika maishaSa hizi mkitoka hapo mnawachooora maana walijua hamjui yanayoendelea kumbe mnayo yote. ππππ
Hahahaaa. Inasaidia kiaje Mkuu wakati saa nyingine umeishi Uswahilini ila katika harakati za maisha unajikuta unaishi uzunguni.Kwa kweli,Yani experience ya uswahilini inasaidia sana katika maisha
Ukiishi maisha ya uswahilini unaweza kuishi maisha yoyote Yale,hujawahi kuishi na mtu halafu ukamuona wa ajabu kiasi kwamba unamwambia "we hujawah ishi uswahilini ndo maana"Hahahaaa. Inasaidia kiaje Mkuu wakati saa nyingine umeishi Uswahilini ila katika harakati za maisha unajikuta unaishi uzunguni.
Nipe hiyo experience na mie aiseee.
Na kweli aiseee.Ukiishi maisha ya uswahilini unaweza kuishi maisha yoyote Yale,hujawahi kuishi na mtu halafu ukamuona wa ajabu kiasi kwamba unamwambia "we hujawah ishi uswahilini ndo maana"
Walioishi uswahilini ni watu Wa kujichanganya sana,ukikutana na wagetikali wao ni watu ambao selfish mda mwingiNa kweli aiseee.
Hahahaha hapo sasa naweza amini kidogo ulipitia uswazi Hajar πππMie mdako nimecheza sana tena tulikuwa tunatumia Ndimu kurusha juu. Rede pia nimecheza sana tu tena kuna ile inaitwa Mateka unaijua. ππππ
Hahahaaaa.Nimejipikilisha pia. Ila hizo mbili za mwisho sikuzicheza aiseee. Nilipitwa eee?
Hahahaaa. Nilishakaa Uswahilini Sesten.
Na kweli usemalo. Japokuwa kuna wachache wapo kama sie tuliokulia uswahilini tu.Walioishi uswahilini ni watu Wa kujichanganya sana,ukikutana na wagetikali wao ni watu ambao selfish mda mwingi
Haaah! Haaah! Haaah! Haaah! Huna adabu wewe dada!Hahaaa. Kuna ile mtu anapeta mchele kibarazani kila siku kumbe anao huo huo robo sijui nusu na kila akiingia ndani anasonga ugali. Lol
Ndio ile sasa, unawaacha wanapeta Mchele, ukirudi unakuta Ugali!Hahaaa. Kuna ile mtu anapeta mchele kibarazani kila siku kumbe anao huo huo robo sijui nusu na kila akiingia ndani anasonga ugali. Lol
Yap wapo wanaoweza kuendana na mazingiraNa kweli usemalo. Japokuwa kuna wachache wapo kama sie tuliokulia uswahilini tu.
hahaaa kazi kweli kweliHahaaa. Kuna ile mtu anapeta mchele kibarazani kila siku kumbe anao huo huo robo sijui nusu na kila akiingia ndani anasonga ugali. Lol
Hahaaa haaMajirani ukileta "demu" mpya lazima wamuone ila aje mwizi aibe kila atakaeulizwa atasema hakumuona.
hahaa umenikumbusha mbali " kipindi tunakuwa mtaani kwetu mitaa ya M.nyamala komakoma " palikuwaga na demu mmoja matata sana" Halafu ni sister do ile mbaya alikuwa anasoma zanaki".... huyu demu hakuwaga mchoyo Aisee".... ila ukimuomba akupeleke kwao" Aisee hakupeleki hata kwa fimbo".... kwao ni uswazi mnoo bondeni maji yanajaa mpaka ndani" Yaani daah AibuUswahili pekee mademu huazimana nguo kwa ajili ya mtoko na wanajua balaa kupangilia pamba
Wana mapenzi ya dhati wanajua kupendeza unaweza jua huyu matawi ya juu akikupeleka sasa kwao utakimbia lakin kwenye kuvaa nawapa 100%
uswahilini usiku wanauza maharage yaliyopikwa tsh300 na chapati tsh100 ... ukiwa na buku tu unakula mpaka una saza"..... basii kuna watu huwa wanapika ugali/wali halafu mboga wanakwenda kununua maharage"..... hii hata mimi nimekula sana AiseeUswahilini huwezi lala njaa, kuna mkate hadi wa mia mbili!!
hahaa M/ nyamala na vichwa vya kuku .utumbo miguu na viazi mviringo ndio kwaoHuku kwetu ndio mboga zetu hizo na utumbo jamani