Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
πππππUnazingua hajar
Hahahahahaha
πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππππUnazingua hajar
Hahahahahaha
Una nini lakini Mangi banaaa. ππWe unajuaje hapiki pilau kweli?
Una nini lakini Mangi banaaa. [emoji12][emoji12]
Mwisho wa siku wanaosha sufuria za ugali. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
πππππUna nini lakini Mangi banaaa. ππ
Mwisho wa siku wanaosha sufuria za ugali. ππππ
Hahahaaaaa. Hata sijui anaikata vipi.Ila uswazi nouma sana. Sasa harufu ya ugali anaikataje? Au ndio inakuwa imepotezwa na ile ya vitunguu swaumu nini??
[emoji12][emoji12][emoji23][emoji23]
Ila uswazi ni hatari asee. Vigoma kila siku. Hii dagaa mchele ushuani wapo?Ipo Mkuu hiyo. πππ
Hahahaaaa. Acha kabisa.Ila uswazi ni hatari asee. Vigoma kila siku. Hii dagaa mchele ushuani wapo?
Hajar wauliza mabusha Bagamoyo tena.....uswazi ndo kwenyewe banaSesten Zakazaka hivi na weye si wa Uswahilini kama mimi eeee? πππ
πββοΈπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ
Itakuwa haujaangalia vizuri sio nywele ni steelwire hiyoMaisha ya Uswahilini.
Unamwazima mtu sabuni ya kuoshea vyombo inarudi ina nywele [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tupia kituko chochote cha uswahilini kwenu
Uswahilini arusha wapo live na maisha unashangaa mtu anapika mihongo nje na hawazi au anachambua matenyuma na hawazi yaaniArusha kuna sehemu inaitwaa Uswahilili mwisho wa haisi mademu wa kule wana matusi balaaa chali yangu
Kitoweo utumbo wa kuku na vichwaUswahilini huwezi lala njaa, kuna mkate hadi wa mia mbili!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Habari za jioni wana JF.
Maisha ya uswahili yana shida sana.
Hii nimeiona huku kwetu, ofisini imefungwa Air Condition basi siku hizi kila mmoja wetu anataka iwashe.
Kinachoniacha hoi unakuta mtu anawasha AC na feni pia anawasha kwa pamoja.
Sasa ukute ile ya mashindano ya mtaa kwa mtaa,watoto wa kiume tunaendaga kuchungulia watakaokaa vibayaMie mdako nimecheza sana tena tulikuwa tunatumia Ndimu kurusha juu. Rede pia nimecheza sana tu tena kuna ile inaitwa Mateka unaijua. ππππ
Hahahaaaa.Nimejipikilisha pia. Ila hizo mbili za mwisho sikuzicheza aiseee. Nilipitwa eee?
Hahahaaaa. Lol.Sasa ukute ile ya mashindano ya mtaa kwa mtaa,watoto wa kiume tunaendaga kuchungulia watakaokaa vibaya
Ilikuwa siku mwali akitoka basi wanazungusha mikeka humo ndani ndo kuna balaa sasa, haruhusiwi mwanaume kuingia wapiga ngoma wanapiga kwa nje...sisi na utoto wetu tulikuwa tunavizia tunachungulia kwa chini kilichopo humo sasa ni balaaHahahaaaa. Lol.
Ila kuna Vimaisha flani tulivyovipitia zamani vina raha yake banaaa.
Hahahaaaa. Ila mlikuwa wabaya aiseeee.Ilikuwa siku mwali akitoka basi wanazungusha mikeka humo ndani ndo kuna balaa sasa, haruhusiwi mwanaume kuingia wapiga ngoma wanapiga kwa nje...sisi na utoto wetu tulikuwa tunavizia tunachungulia kwa chini kilichopo humo sasa ni balaa