[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]kabla sijaanza kunywa pombe nilikua naogopa sana maiti hata mgonjwa tu..ila sikuizi nikienda mochwari nakua kimbele mbele hadi natamani kuchungulia maiti zingine nione kuna siku ntaenda kuomba nishinde kule tu niwe naona vioja vyao
Suala la kukatwa viungo lipo linafanyoka ila ni Mara chache sana.MSHANA NO, CONTENTION YAKO IS TOTALLY AGAINST SCIENCE! IMPOSSIBLE. Ngoja nikupe kisa, kuna mortuary attendant alikuwa na tabia ya kuuza viungo vya binadamu. Watu wanaweka wafu wao kesho wanakuta amegeuzwa hivi na vile tofauti na walivyomweka. Ndugu wa wafu wakawa wanajiuliza mbona hawa maiti wanabadilika? Malalamiko yakaanza. Wenye uelewa, wasioamini hayo unayoyasema wakafuatilia with scientifc means. Wakakuta kuwa yule attendant alikuwa ana temper na maiti for whatever reasons! Sio story tunaye na sasa ameacha , alifukuzwa mortuary
Kuna siku tulikuwa tuna mwingiza jamaa yetu mochwar.Hata kwa pesa siendiiii,,niliwah simama mlangoni kwa nje nikaona kwa mbali zimepangwa wewe nilisisimkaaa mwili wote hadi jikataka kuangukaa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna siku tulikuwa tuna mwingiza jamaa yetu mochwar.
Ndan tuliingia mm na mfanyakazi wa mochwar tulipofika kwenye chumba nikazikuta maiti kama kumi na zaidi zmelazwa chini mbili zilikuwa zmevimba zmejaa hatar sasa yule mfanyakazi wa mochwar akatoka nje akaniacha peke yangu ndani . dah! Nikahisi Giza linatanda . nikakimbia kutoka nje.
Kuna siku tulikuwa tuna mwingiza jamaa yetu mochwar.
Ndan tuliingia mm na mfanyakazi wa mochwar tulipofika kwenye chumba nikazikuta maiti kama kumi na zaidi zmelazwa chini mbili zilikuwa zmevimba zmejaa hatar sasa yule mfanyakazi wa mochwar akatoka nje akaniacha peke yangu ndani . dah! Nikahisi Giza linatanda . nikakimbia kutoka nje.
Mungu wangu nimejikuta nacheka tuKufanya kazi monchwar inaitaji ujasir sana binasfi nna kakaangu alikuwa anafanya kazi huko
Kila siku alikuwa ananiambia daaaaah ile kazi bila kuvuta mmea uwezi piga
Kuna maiti zinaletwa pale zaajabu
-zingine eti zinaamka zinafanya mazoezi zikimaliza zinakufa tena
-zingine ukiziangalia sana zinaamka zinakuuliza unamuangalia nani zingine zinakukonyeza
-zingine zilikuwa zinamuomba adi simu ziwapigie ndugu zao we acha tu
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]kabla sijaanza kunywa pombe nilikua naogopa sana maiti hata mgonjwa tu..ila sikuizi nikienda mochwari nakua kimbele mbele hadi natamani kuchungulia maiti zingine nione kuna siku ntaenda kuomba nishinde kule tu niwe naona vioja vyao
Hii kazi inahitaji moyo kwelikweli.unajikuta upo na watu ambao hawawezi sema chochote.View attachment 488771
Mwanaume kazini
DUHNa kuna wakati inabidi ufanye hiviView attachment 488822
Ushaid wanini kila kitu kinajielezaMpwa tukikuomba ushahidi waweza tuletea?
[emoji13] [emoji13]😉maiti zingine huomba mpaka mmea,pindi zionapo muhudumu anavuta.. Hua wanasikia kiu pia.
[HASHTAG]#NOTE[/HASHTAG]: haijathibitishwa lakini.
Ndg yako huwezi kumwogopa.. Na kuna wakat unataman hata asizikwe uwe unamwangalia tuHahahajajajajaaj aisee kukaa na vitu ambavyo haviongei weweee, tuwe na ujasiri unapofiwa na mtu wa Karibu inakuwaje? Laiti ningeulizwa umezaliwa halaf unakufa nisingekubali kuzaliwaa
Mkuu maisha baada ya kufa ni mazur tuHiv mbona mwenzenu nna hamu ya kufa sana siku hizi naamin kuna maisha mazuri after death am curious to know that