Shadrack K. Lwila
JF-Expert Member
- Jul 17, 2016
- 4,925
- 14,287
There differ btn birth and deathMe piah nahisi hivyo kuna maisha mazur baada yakufa maana navuta2 picha kabla sijazaliwa nilikuaje, nilikuwa sijitambui nahivyohivyo nahisi nikifa itakuwa hivyo sijitambui
Eeeh! Hyo ndio internal postmortem.. Hyo inawakumba sana punda wa ngadaNa kuna wakati inabidi ufanye hiviView attachment 488822
Hapana haiwezi kuwa ivyo maiti ni maiti na mizimu ni mizimu ila ukifa roho bado inaishi mwili ndo unakua umekufaTukishakuwa maiti tunakuwa mizimu
[emoji13] [emoji13] [emoji13]Kuna zile za wale waliozoea kusuta na kuzodoa wakifa maiti zao utakuta zimebetua midomo. Nishawahi kuona mimi......
Aiiseh ujasir alionao huyu postmotum [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]View attachment 488771
Mwanaume kazini
Kakaangu zilikuwa zinamwongelesha mala kibaoSasa Prof Mshana mfano katika mishe zako haijawahi kutokea labda maiti ikakuongelesha labda? maana ni kituko pia Mimi kule nimeingia kama mara mbili lakini nikiwa tayari nimeisha jiunga tayari na ka kiroba changu.Na kuna moja nilitaka kuikanyaga
Ata mimi nawaza ukifariki sijui utaonekanaje[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125][emoji85] [emoji85] [emoji85] kuna mtu nawaza akifariki maiti yake itakuwaje
aiseeee Jibu kwangu lingekua ni moja tuu "tulia umesha kufa wewe"ila lazima uwe umejiunga full timeKakaangu zilikuwa zinamwongelesha mala kibao
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]aiseeee Jibu kwangu lingekua ni moja tuu "tulia umesha kufa wewe"ila lazima uwe umejiunga full time
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hata mie sipati pichaAta mimi nawaza ukifariki sijui utaonekanaje[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Mshana, I respect you much brother but this is not fair, [emoji21] no health personal who is allowed kutoa izo siri ikiwa za patient, client au hata deadbody, don't act like a kid brother u are grown up enough, don't do this please...[emoji120]
Kaoge yake itakuwaje?Kuna zile za wale waliozoea kusuta na kuzodoa wakifa maiti zao utakuta zimebetua midomo. Nishawahi kuona mimi......
Naskia mochwar wafu wanahifadhiwa kwny frij hapo mbona ni wazi sana,?Jamani jamani jamani pale mahali paoneni hivi hivi, pana vibweka pale mwanzo mwisho, na Kama kuna viumbe wana visa vibaya marehemu wanaongoza
Kama mtu alikuwa malaya kwenye uhai wake hata akifa maiti yake huwa na pozi zile zile.
Mtu katili hufa na ukatili wake na hata pale mochwari maiti yake huwa na dalili zote.... Wabishi matapeli wachawi nk hubaki na hizi tabia hata pale ndani
Huwezi amini maiti uliyokuwa umeiweka vizuri tu ukaikuta imechanua miguu.
[emoji87] [emoji85] ,ama maiti nyingine kuikuta tu imegeuka yenyewe ...! Unakaa na kujiuliza na mshangao mkubwa hii imegeuka saa ngapi? Ama imegeuzwa ?[emoji35] [emoji35] [emoji35] na nani?
Mbaya zaidi ni zile zenye tabia ya kukonyeza.... Yani live kabisa ukiangalia unaona marehemu anakukonyeza.... Walevi mateja mabosi nk wote wapo kwenye kile chumba.
Na kuna wakati mochwari attendant hujua kabisa kwamba Leo mochwari patafurika ama mzigo utakuwa mdogo.... Ni uzoefu tu wa kazi.
Nikimkumbuka yale niliyokutana nayo wakati ule naona kabisa kuna mengi bado hatuyajui.
In goldberg voice![emoji35] you are the next[emoji84] [emoji83] [emoji125]
[emoji23] [emoji23] [emoji23]in very rare cases most of the time ni illusions na mind tricksSasa Prof Mshana mfano katika mishe zako haijawahi kutokea labda maiti ikakuongelesha labda? maana ni kituko pia Mimi kule nimeingia kama mara mbili lakini nikiwa tayari nimeisha jiunga tayari na ka kiroba changu.Na kuna moja nilitaka kuikanyaga