Vituko vya mochwari

Sasa Prof Mshana mfano katika mishe zako haijawahi kutokea labda maiti ikakuongelesha labda? maana ni kituko pia Mimi kule nimeingia kama mara mbili lakini nikiwa tayari nimeisha jiunga tayari na ka kiroba changu.Na kuna moja nilitaka kuikanyaga
 
Sasa Prof Mshana mfano katika mishe zako haijawahi kutokea labda maiti ikakuongelesha labda? maana ni kituko pia Mimi kule nimeingia kama mara mbili lakini nikiwa tayari nimeisha jiunga tayari na ka kiroba changu.Na kuna moja nilitaka kuikanyaga
Kakaangu zilikuwa zinamwongelesha mala kibao
 
Mi sijui nina matatizo gani, napenda kuangalia video za Postmortem [emoji380] [emoji418] [emoji418]
Jinsi vile wanavyowachana kuwafanyia uchunguzi, kutoa vitu vya ndani kuwafanyia uchunguzi na kisha kiwarejeshea na kuwashona.
 
Mshana, I respect you much brother but this is not fair, [emoji21] no health personal who is allowed kutoa izo siri ikiwa za patient, client au hata deadbody, don't act like a kid brother u are grown up enough, don't do this please...[emoji120]

Una complicate mkuu au umeelewa vibaya ,kuanika siri za watu ni kutoa majina ya watu na picha za watu ambao we might know them .

Yeye ametoa story na tabia ili watu wapate kujua na kujifunza pia.Je kuna Mtu yoyote ambae unamjua amekuwa mentioned kwenye hiyo message ? .
Yeye anaelezea work experience yake tu.

Just enjoy and get new information.
 
Naskia mochwar wafu wanahifadhiwa kwny frij hapo mbona ni wazi sana,?
 
Sasa Prof Mshana mfano katika mishe zako haijawahi kutokea labda maiti ikakuongelesha labda? maana ni kituko pia Mimi kule nimeingia kama mara mbili lakini nikiwa tayari nimeisha jiunga tayari na ka kiroba changu.Na kuna moja nilitaka kuikanyaga
[emoji23] [emoji23] [emoji23]in very rare cases most of the time ni illusions na mind tricks
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…