Vituko vya mochwari

Vituko vya mochwari

074a2bea1270c819b56c70296257774b.jpg
hii mada hainihusu.
[emoji23] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
kuusu maiti kugomea nguo hii imekaaje?

au kugoma kuingia kwenye geneza


Kuna jamaa mmoja alimuasi mkewe, akawa anaishi kwa mpenzi wake. Kifo kikampata akiwa muhimbili tuliporudisha maiti kwake mkoani lile sanduku halikupita mlangoni kabisa.

Kila tukijaribu kuingiza linakataa watu wakajiuliza kuna nini hapa, inabidi mkewe aseme kuwa huyo aliasi hapa nyumbani muda mrefu alikuwa anaishi kwa mapenzi wake huko. Apa alikuwa anakuja tuu kuona familia..

Basi watu waliamua kuipitisha ile maiti dirisha sababu ile Nyumba kuna baadhi ya madirisha yalikuwa bado, na watani wanasema haya sasa ukitaka ukae humor humor usizikwe.Ila wkt wa kutoa jeneza lilitoka vizuri tuu.

Kweli maiti inatuko inagangamala km ipo hai.
 
Hahahahaha lol! Nimecheka kama mazuri. Sikutaka kuifungua hii thread lakini nikasema nichungulie haraka haraka. Mie na baadhi ya threads za mshana jr mbali mbali kabisa! Huwa nazipita kwa mbaaaaali!

CC: Honey Faith
[emoji15] [emoji25] [emoji25] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom