luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,160
- 21,676
mshana uwe unaona ni mda gani wa kuleta uzi kama huu usiku ule uzi wako wa kufukua maiti gafula nilifungua zile picha zinatisha. Nilipolala tu nikaziota nilikosa usingizi.Vituko vya mochwari [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Niliogopa sana wengine tunalala wenyewe sio vizuri.
Yaan siku ya jana kila uzi ni maiti kuna ile ya kuchoma maiti loh usiku sikulala