Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshana jr ni jasir sana kufanya kazi kama iyo ni ngumu kwa wenye moyo mwepesiKuishi kwingi kuona mengi ni haki yako mshana [emoji119] [emoji119]
Wewe sifi ng'ooooooSiku ukirest in peace wewe [emoji39] [emoji39] [emoji39]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mimi ningemvutia cha Rchuga kisha nikamezea na ngumu kumeza kisha angeisoma number... Angekula kelebu za kufa mtu mpaka akae sawa shurbameeetKwahiyo kuna mdogo wangu alifiwa na mtoto, nikaenda mwananyamala sasa wakati nasubiri mwili pale maana katoto kalikua na mwaka tu (so sad) nipo kwa ndani kwenye kama kilobby atendant wa kwanza alikua ndani kabisa...akiongea kwa nguvu namskia anamwambia attendant wa pili mtu mzima hivi nimesimama nae karibu ,akasema huyu jamaa hasogei kila nikitaka kumweka vizuri hakai? Atendant wa pili akamuuliza yupi ? Huyo wa ajali? Jamaa akasema ndio, akamwambia huyo jamaa mwache nakuja mwenyewe...maana anatusumbua tokea asubuhi...(mida hiyo ni mchana saa nane) jamaa wa ndani akamwambia sawa ...baada ya hapo tukahudumiwa sisi tukaondoka..mpaka leo kuna maswali najiuliza na sijawahi kupata jibu...but those atendant was very comfortable aisee...how could you talk about deceased body and be comfortable like that?
[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]Jamani jamani jamani pale mahali paoneni hivi hivi, pana vibweka pale mwanzo mwisho, na Kama kuna viumbe wana visa vibaya marehemu wanaongoza
Kama mtu alikuwa malaya kwenye uhai wake hata akifa maiti yake huwa na pozi zile zile.
Mtu katili hufa na ukatili wake na hata pale mochwari maiti yake huwa na dalili zote.... Wabishi matapeli wachawi nk hubaki na hizi tabia hata pale ndani
Huwezi amini maiti uliyokuwa umeiweka vizuri tu ukaikuta imechanua miguu.
[emoji87] [emoji85] ,ama maiti nyingine kuikuta tu imegeuka yenyewe ...! Unakaa na kujiuliza na mshangao mkubwa hii imegeuka saa ngapi? Ama imegeuzwa ?[emoji35] [emoji35] [emoji35] na nani?
Mbaya zaidi ni zile zenye tabia ya kukonyeza.... Yani live kabisa ukiangalia unaona marehemu anakukonyeza.... Walevi mateja mabosi nk wote wapo kwenye kile chumba.
Na kuna wakati mochwari attendant hujua kabisa kwamba Leo mochwari patafurika ama mzigo utakuwa mdogo.... Ni uzoefu tu wa kazi.
Nikimkumbuka yale niliyokutana nayo wakati ule naona kabisa kuna mengi bado hatuyajui.
![]()
Kwahiyo kuna mdogo wangu alifiwa na mtoto, nikaenda mwananyamala sasa wakati nasubiri mwili pale maana katoto kalikua na mwaka tu (so sad) nipo kwa ndani kwenye kama kilobby atendant wa kwanza alikua ndani kabisa...akiongea kwa nguvu namskia anamwambia attendant wa pili mtu mzima hivi nimesimama nae karibu ,akasema huyu jamaa hasogei kila nikitaka kumweka vizuri hakai? Atendant wa pili akamuuliza yupi ? Huyo wa ajali? Jamaa akasema ndio, akamwambia huyo jamaa mwache nakuja mwenyewe...maana anatusumbua tokea asubuhi...(mida hiyo ni mchana saa nane) jamaa wa ndani akamwambia sawa ...baada ya hapo tukahudumiwa sisi tukaondoka..mpaka leo kuna maswali najiuliza na sijawahi kupata jibu...but those atendant was very comfortable aisee...how could you talk about deceased body and be comfortable like that?