Vituko vya mochwari

Vituko vya mochwari

Napata tabu kuwaelewa wale wanaosoma stori tu na kutishika au wanaoshindwa hata kuangalia movie za kutisha, hadi wengine wanaogopa kupita maeneo ya makaburini usiku binafsi woga huo sina hadi usiku mi popote natimba ila hofu yangu nisikutane na mtu mwenye silaha kama vile bastola, bunduki au visu.
binafsi pia sijaona kitisho wala kituko chochote kwenye bandiko labda aongeze nyama kweny mada yake
 
Amekamatwa akichomoa mipira ya Oxygen kwa wagonjwa ili wafe apate maiti wengi wa kusafirisha kwenye ambulance yake tajiri kamtuma.


 
JamiiForums1323747473.gif


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo kuna mdogo wangu alifiwa na mtoto, nikaenda mwananyamala sasa wakati nasubiri mwili pale maana katoto kalikua na mwaka tu (so sad) nipo kwa ndani kwenye kama kilobby atendant wa kwanza alikua ndani kabisa...akiongea kwa nguvu namskia anamwambia attendant wa pili mtu mzima hivi nimesimama nae karibu ,akasema huyu jamaa hasogei kila nikitaka kumweka vizuri hakai? Atendant wa pili akamuuliza yupi ? Huyo wa ajali? Jamaa akasema ndio, akamwambia huyo jamaa mwache nakuja mwenyewe...maana anatusumbua tokea asubuhi...(mida hiyo ni mchana saa nane) jamaa wa ndani akamwambia sawa ...baada ya hapo tukahudumiwa sisi tukaondoka..mpaka leo kuna maswali najiuliza na sijawahi kupata jibu...but those atendant was very comfortable aisee...how could you talk about deceased body and be comfortable like that?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kwamba atakuja kumalizana nae mwenyewe!
 
 
Back
Top Bottom