Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Jamani chumvi punguzeni kidogo mbavu zetu zipone
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] duh
 
Nilidhani deo kwenye mavituz kumbe hata wakiwa wanavaa na kupiga story[emoji3] [emoji3] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Nimecheka sanaaaaaaaaaaaaaaa
 
Hujaitendea haki Mwananyamala,bila kuitaja Kwa Manjunju, kwa mama zakaria, Komakoma,ujiji na kisiwani.
Kuanzia Kwa manjunju hadi kwa mama zakaria ni maeneo hatari sana kwa wizi wa simu, some times wezi hupandia mwananyamala kisiwani "Kituo cha shule" ila wezi wakubwa wa simu sio wanaopanda dala dala ka =ma wale wa njia ya Tandale, ni vijana waliopo chini ambao wanavizia abiria wanaochat, na maeneo hayo kuna bumps so daladala lazima iende taratibu.

Komakoma hakuna wizi ila kuna mateja wanazagaa zagaa sana,na nyakat za usiku wale malaya wanaojiuza masai club husogea komakoma mida ya alfajiri katika harakat za kurud nyumbani, ni moja ya maeneo ambayo watu huwa hawalali,na daladala hupatikana muda wote zinaanzia Mwananyamala A kuja komakoma na kwenda Buguruni, Ubungo (Kwa usiku) na Kariakoo.
Mwananyamala Kisiwani,ambayo kijiografia inakwenda kupakana na Tandale sifa yake kuu ni wasichana wanaosasambua, hao ndio wamepinda na hawana soni hata kidogo, na hata wanawake wa maeneo mengine huwashangaa, hupenda kuvalia dera mnasio na kumwaga radhi kwenye sherehe, mwanamke anaweza kuikatikia chupa na akainyanya kwa kupitia uke au sehemu ya kunyea. Haya yapo mwananyamala.

Wengine wataongeza bro mshana jr
 
Hebu naomba farusofia uwaambie na wadada wengine wa JF wenyeji wa Mwananyamala wajitokeze kusema neno

Niwie radhi kwa hiyo reply sikujua jinsia niliangalia user name
 
Sasa nimeelewa kwa nini Chadema waliamua kuweka makao makuu ya Chadema mwananyamala ni chama cha wahuni ofisi zao ziko kwa wahuni wa kila namna na ofisi yenyewe kuanzia muonekano ni ya kihuni
Usituharibie mada kuwa kama jingalao ana akili na hekima kuliko wewe... Huku sio jukwaa la siasa tafadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…