Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
MuoneNdo wap?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MuoneNdo wap?
AiseePia usisahau Mwananyamala ndio sehemu pekee unaweza ukapata Wali Maharagwe kwa tsh 300 na ukashiba kabisa!
Jamani chumvi punguzeni kidogo mbavu zetu ziponeManyau nyau alikuja kuondoa uchawi kufika pale Ubaa Corner (Baa ipo Makaburini) akasema mbele anaona bahari tu hawezi kusogea mbele akarudi kwao, akakaa akaja tena, akafika sehemu ni maskani kuna gogo limewekwa hua tunakaa kupiga stori.
Akatoa jidude fulani hivi akasema huu ni ub00 kila aliyekaa hapa alikua anafir.wa ndiyo maana mtu akikaa hapa kuondoka hua hataki.
Yaani alichomaanisha ni kua vijana wote wa pande zile marinda yaliliwa na wachawi
Fursa za nini?Kumbe jingalao huwa unachangamikia fursa eehhh
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] duhMatunge nae msanii tu mbongo,silvester watoto wake nowdys wamebaki kujichora matatoo km blackboard dah mwanayamla sio sehem salama kwa malezi ya mtoto wako...kuna mmoja alikuja kuanzisha hostel maeneo ya kwa baba happy kwa nyuma pale madada wa hostel walikuwa wanaliwa deo(chabo) mpka wamechanganyikiwa maana awana pakwenda kushitaki unakuta mjumbe wa shina nae mla deo ikafika kipindi wanapiga story tu na wazee wa chabo wakiwa madirishani..madada wanasema "basi tuacheni tulale chabo mpaka tukiwa tunajisomea?? dah na nyie mezidi""? wazee wa deo wanajibu "FUNGUA KIDOGO nione naondoka"
Nilidhani deo kwenye mavituz kumbe hata wakiwa wanavaa na kupiga story[emoji3] [emoji3] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Matunge nae msanii tu mbongo,silvester watoto wake nowdys wamebaki kujichora matatoo km blackboard dah mwanayamla sio sehem salama kwa malezi ya mtoto wako...kuna mmoja alikuja kuanzisha hostel maeneo ya kwa baba happy kwa nyuma pale madada wa hostel walikuwa wanaliwa deo(chabo) mpka wamechanganyikiwa maana awana pakwenda kushitaki unakuta mjumbe wa shina nae mla deo ikafika kipindi wanapiga story tu na wazee wa chabo wakiwa madirishani..madada wanasema "basi tuacheni tulale chabo mpaka tukiwa tunajisomea?? dah na nyie mezidi""? wazee wa deo wanajibu "FUNGUA KIDOGO nione naondoka"
Za kuonja ladha ya MwananyamalaFursa za nini?
Nimecheka sanaaaaaaaaaaaaaaaManyau nyau alikuja kuondoa uchawi kufika pale Ubaa Corner (Baa ipo Makaburini) akasema mbele anaona bahari tu hawezi kusogea mbele akarudi kwao, akakaa akaja tena, akafika sehemu ni maskani kuna gogo limewekwa hua tunakaa kupiga stori.
Akatoa jidude fulani hivi akasema huu ni ub00 kila aliyekaa hapa alikua anafir.wa ndiyo maana mtu akikaa hapa kuondoka hua hataki.
Yaani alichomaanisha ni kua vijana wote wa pande zile marinda yaliliwa na wachawi
Hebu naomba farusofia uwaambie na wadada wengine wa JF wenyeji wa Mwananyamala wajitokeze kusema neno
Niwie radhi kwa hiyo reply sikujua jinsia niliangalia user nameMi kimboka nilichukua demu, nikamwambia uwanja wa mauaji wapi, akasema nimfuate, ila moyoni nikawa najiuliza huku anakonipeleka kama kuna usalama, tukaingia gheto moja chafu chafu, yaani mashuka yana ramani ya nchi zote zilizopo duniani, mpaka sasa hivi sijajua zile ramani kama ni mikojo ya walevi au many ejaculations za masela, tukaanza mambo, mara demu anaanza kusema we ****** nini, fanya fasta niwahi kiwanja, daah, yaani mzuka wote ukaisha, maana nilikuwa sijazoea lugha kali kama za huyu chakalaa wa kike, yaani unanitukana katikati ya mchezo, maana anataka nifanye kama kuku kitu ambacho sijakizoea, ila kiukweli sikumaliza maana wazungu wote walighairi na kuamua kwenda kuendelea kuweka makazi kwenye korodani, sitaisahau na sitamsahau huyu mpenzi aliyenipiga kibuti mpaka mzee mzima nikaamua kujitoa muhanga mitaa ya kimboka, maana kule mahala kunatisha mazee usiombe, halafu mbaya zaidi nilizama nikiwa nimevaa suti jezi la kazini, ila nahisi masela na wenyewe walikuwa hawanielewi ndio maana wakawa wananiangalia kwa macho ya wasiawasi, maana nilikuwa sifananii kabisa kuzama hayo maeneo, ila kunatisha, maana kule unaweza liwa supu ndugu zako wasione hata unyayo
ndugu wa babu zangu na bibi zangu waliishi mwananyamala....kwa hiyo hapo ni nyumbani.Za kuonja ladha ya Mwananyamala
Ahaaaandugu wa babu zangu na bibi zangu waliishi mwananyamala....kwa hiyo hapo ni nyumbani.
Nakumbuka nilzama mfukoni wakati anaongea ongea nikafinyanga finyanga kumi kumi 7 nikamrushia ili asiendelee kunijazia wa2 nikasepaKilichotokea baadaye [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Unaaribu Uzi.Sasa nimeelewa kwa nini Chadema waliamua kuweka makao makuu ya Chadema mwananyamala ni chama cha wahuni ofisi zao ziko kwa wahuni wa kila namna na ofisi yenyewe kuanzia muonekano ni ya kihuni
Usituharibie mada kuwa kama jingalao ana akili na hekima kuliko wewe... Huku sio jukwaa la siasa tafadhaliSasa nimeelewa kwa nini Chadema waliamua kuweka makao makuu ya Chadema mwananyamala ni chama cha wahuni ofisi zao ziko kwa wahuni wa kila namna na ofisi yenyewe kuanzia muonekano ni ya kihuni