Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Duh! umenifurahisha,eti akikaa kuondoka hataki
 
Hapo kamanyola kuna chochoro lilikuwa refu ndo lina madirisha ya gest kuna mshkaj anaitwa ibrahim alienda kupiga chabo akakuta mama yake mzaz anasukumiwa mashine mbuz kagoma jamaa alilia kwa sauti mpaka wakasikia wahudumu
Duh,balaaa!
 
Kwahiyo walivyokupiga roba ya mbao... .
We ukawapiga roba ya ki-sangoma ukawasafirisha ahera madukani!

We kweli sio mtu wa kispot spot.
 
Pembe alikuwa akikupiga roba kudadek hutoi lazma uache marupurupu huyu jamaa alikuwa bonge la beki kitasa akiichezea tukuyu ya mbeya alivyorud ikawa bhas akaanza uteja na ukabaji mwaka juz nikamkuta pale mwananyamala hospital hawez kutembea anaombaomba getin dah mshana ulimtengeneza kweli nn
 
Kinondoni mkwajuni ndipo Komandoo Marando alipomaliza biashara na mhaini Tamimu, pale mahali sasa pana makao makuu ya CCM wilaya ya Kinondoni!
 
Correction


OFM

Operation fichua maovu ndio waliongozana na polisi na kufichua

OFM walitafuta kiki wakapata
 
Uliwapiga kipapai
 
Nakumbuka mwaka 2009,nililala guest fulani ipo maeneo karibu na mwananyamala magengeni.Naamka asbh nakuta suruali yangu haipo ndani wakati niliiweka kwenye kiti pembeni kabla sijalala.Kuchunguza dirishani nikakuta kuna tobo limetengenezwa.Nikajua tayari nishapigwa,nikatoka nje ya ile guest ili kujua ilipo nguo yangu,nikaikuta nje ya uzio imetupwa.Kusachi mfukoni nikakuta atm card zangu, ila hela hakuna,nilikuwa nimeacha mia tano ya noti.Nilishukuru sana kwani kabla sijalala usiku nilijihami kwa kuficha hela zote chini ya mto.Ila nilijiuliza hawa jamaa walipuliza dawa ya usingizi usiku ama,maana sikushtuka na wakaweza kuitungua suruali kwa uzuri hadi kutimiza mission zao,ilibidi hadi nijichunguze sehemu nyeti kama hawajafanya yao,maana usingizi ulikuwa mzito sana.
 
Mimi namkumbuka mzee Majisu mchimba makaburi pale M/nyamala A.
 
Abajalo ni ya Sinza,mashabiki wake walikuwa wanaanzia Sinza Lion Hotel, Mashujaa Shule ya Msingi, Kwa Remy,Sinza Mori
Mulemule mkuu had maeneo ya vatican huku
 
Mkuu bon jove [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tulimkamata ktk sungusungu usk mmoja vitu tulivyomkuta navyo
1. Sabuni kipande ( punyeto)

2.spoku ya baiskel(kufungulia mapazia)

3.spoku za baiskel zimeungwa km tano
Hivi unaweza kusema antena( hii anafungulia chandarua, kufunua shuka km umejifunika au mmejifunika mmelala)
 
Yaani pale geiti la mwananyamala hospital kuna mishe mishe za biashara za Cocaine. Yaani hata serikali imeshindwa kudhibiti. Na walinzi wale wrote wanajua mapusha,mateja na mabosi wakubwa wanaleta yaani kama Brazil vile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…