Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Ni yule mzee baharia?Interview inaendelea mzee concord kafariki kwa wale wanaomjua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni yule mzee baharia?Interview inaendelea mzee concord kafariki kwa wale wanaomjua
KwaniniNilikula makofi vingnguti sina hamu..
Ndio proff j aliimba ,pita mwananyamara uone roba za mbao utaona kama mtoa roho yuko karibu yako.Interview inaendelea mzee concord kafariki kwa wale wanaomjua
DaaaahKuna biashara inaendelea pale minazini kuna nyumba imejengwa km madarasa ya shule (jina maarufu kwa wahaya) kipindi kile bao moja ilikuwa 1500, kulala 5000 mda wa biashara ni saa 7 mchana mpaka midnite vile vyumba vina milango miwili yanii unaingia mbele unatokea nyuma..wanaojiuza unawakuta wamekaa mlangoni pale chini mteja akija hakuna ata salamu ni speed tu ndani, kuna wamasai pale wao ni km walinzi wa ile biashara ukizingua kulipa wanakupa kichapo wateja wengine walikuwa wanakwenda kutolewa ndani ya room unakuta mteja amelipa 1500 ya mwendo mmoja yeye anaunganisha basi anaitwa mmasai fasta na bakora zake....pia hawa wamasai unakuta analipwa elfu 60 kwa mwezi ila mwisho wa mwezi anaambulia elfu 8 au 10 nyingne zote anakuwa anapewa huduma sana sana za buku 5 zile za kulala usk...HAPO ni MINAZINI
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Manyau nyau alikuja kuondoa uchawi kufika pale Ubaa Corner (Baa ipo Makaburini) akasema mbele anaona bahari tu hawezi kusogea mbele akarudi kwao, akakaa akaja tena, akafika sehemu ni maskani kuna gogo limewekwa hua tunakaa kupiga stori.
Akatoa jidude fulani hivi akasema huu ni ub00 kila aliyekaa hapa alikua anafir.wa ndiyo maana mtu akikaa hapa kuondoka hua hataki.
Yaani alichomaanisha ni kua vijana wote wa pande zile marinda yaliliwa na wachawi
Walitaka vyao nikajifanya mbishiKwanini
Hahah! waliingia cha kike. . .Haha. Wakachezea tunguli.
Tunasubiri mrejesho mkuu.Breaking news : nipo na James Ngomero kilingeni Msata muda si mrefu tutaanza interview...
Mshana umenikumbusha mbaliKamanyola gesti karibu na Bakule... Ukiingia hapo hata ufanyeje lazima upigwe chabo... Nasikia zile chabo zinalipiwa...
Ndio huyo nyumba yake kusign ya benzi mvua ikinyesha njia ile aipitiki kwa maji baharia huyo...RIPNi yule mzee baharia?
RIP alikuwa anapenda Benzi Car...kaweka nembo ya Benzi nyumbani kwake...so ngomero amekosa tenda kuchimba leo au wanasafirishaInterview inaendelea mzee concord kafariki kwa wale wanaomjua
Mbilinga kashindikana yule Mzee..Hahahahaha wewe jamaa ni wa huku huku.
Siyo mazombie yule mzee kashaua wenzake kibao kisa hiyo nafasi, ndiyo maana hata ndani ya chama chake hawampingi
Apumzike anapostahili. Alitakaga kunitapeli kodi na matusi juu akanitukana yule mzeeNdio huyo nyumba yake kusign ya benzi mvua ikinyesha njia ile aipitiki kwa maji baharia huyo...RIP
Kidogo zilikuwa zimtini yule akuwa sawaApumzike anapostahili. Alitakaga kunitapeli kodi na matusi juu akanitukana yule mzee
Bedui chappmbe unamfahamu due nitakua nakujua maana me mdau was draftnimepiga sana drafti mitaa ya manyanya... kina bedui and et al... wezi kwelikweli hahahaha
Mkuu mshana mwambie james ngomero nimepata taarifa zao yeye na imma mchaga, ustadh saleh wamemuibia mzee mbuzi hii juzi x-mas wamemchinja open kila mtu anaona wamepika supu wamekula..mwambie nikipata mda nitawafata mwanyamala moja moja na watamlipa huyo mbuzi...anatumia ile no mwisho 83? Namtafuta daily simpati..mkuu mshana nipigie kwenye ile halotel yangu mwisho 68 nionge nae huyo shetwani wa mwanayamalBreaking news : nipo na James Ngomero kilingeni Msata muda si mrefu tutaanza interview...
Umenikumbusha mkuu kuna uzi nilisomaga humu kuhusu Wabeshi wa Shinyanga ulikuwa unasisimua sanaMkuu Mshana Jr. Hapo namba 3 kwenye matapeli hapooooo. Koma koma na mwananyamala kisiwani kuna matapeli wa kufa MTU,, jina LA mjini wanajulikana kama wabeshi