Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Mkuu mshana mwambie james ngomero nimepata taarifa zao yeye na imma mchaga, ustadh saleh wamemuibia mzee mbuzi hii juzi x-mas wamemchinja open kila mtu anaona wamepika supu wamekula..mwambie nikipata mda nitawafata mwanyamala moja moja na watamlipa huyo mbuzi...anatumia ile no mwisho 83? Namtafuta daily simpati..mkuu mshana nipigie kwenye ile halotel yangu mwisho 68 nionge nae huyo shetwani wa mwanayamal
Kuna dharura imetokea.... Hatukuweza kufanya interview vizuri.. Tumekatisha.. Taarifa za msiba wa mzee concord ndio kanipa yeye na Salum wa Tiger bar pia.. Naondoka kwenda Dar muda huu
 
IMG_20180120_151711.jpg
tulikuwa hapa na James...
 
Kile kijiwe kuna akina Bedui, Beka, kuna mzee mmoja anafanana na Mizengo Pinda, mzee Jose, Kobelo sijui, kuna mzee mmoja mpemba ana matusi sana nk
Huyo mpemba anaitwa mzee supa.
 
Pale mwananyamala hospitalini ile asubuhi kuna jamaa alikuja akidai hana nauli ya kumfikisha gongo la mboto akaomba tumsaidie jero tukampa tukijua kweli kapigika,

Ile tumekaa kidogo tumejisahau tukamwona tena yupo kwa watu wengine akiomba pesa,
Kesho yake tena akaja mwingine na gia ile ile ,
Hapo ndipo machale yaliponicheza kuwa huu ni usanii.
 
Ngono inafanywa mchana kweupe maeneo ya uwanja wa fisi, madada poa wanavyumba vyao special kwa huduma hiyo..Wanatoa huduma zote muhimu kwanza condom unapewa bure ukimaliza shughuli unasafishwa vizuri na tissue paper kwa gharama ndogo tu ya kuanzia elfu 2 kwa bao moja., ila kwa usawa huu mgumu wa maisha lazima bei ishuke..
Nilinunuaga wanawake wawili uwanja wa fisi kwa bei hiyo mwaka 2013, unataka kuniambia mpaka leo hsijapanda?
 
Mwenyekiti wetu hajui kusoma na kuandika ukaanzishwa utata akasema anajua kuandika na kusoma.

Wakakutanishwa siku hiyo ya kumtest kama kweli anajua kusoma na kuandika akaambiwa andika Chama Cha Mapinduzi.

Akaandika Chama Ha Mapundusi

Mwandiko kama bata.

Kampeni za 2015 akawa ananadi sera nanukuu

"Vijana nipeni kura mimi na nyinyi hatuna ugomvi ndiyo maana mnapovuta bangi napajua ila sijawahi kuwaleta polisi, kama kuna yeyote kawahi kusumbuliwa na askari kisa bangi aseme"
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Manyau nyau alikuja kuondoa uchawi kufika pale Ubaa Corner (Baa ipo Makaburini) akasema mbele anaona bahari tu hawezi kusogea mbele akarudi kwao, akakaa akaja tena, akafika sehemu ni maskani kuna gogo limewekwa hua tunakaa kupiga stori.

Akatoa jidude fulani hivi akasema huu ni ub00 kila aliyekaa hapa alikua anafir.wa ndiyo maana mtu akikaa hapa kuondoka hua hataki.

Yaani alichomaanisha ni kua vijana wote wa pande zile marinda yaliliwa na wachawi
Aisee [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hebu naomba farusofia uwaambie na wadada wengine wa JF wenyeji wa Mwananyamala wajitokeze kusema neno
Me nimezaliwa A nimesoma mwananyamala B ile ya mwalimu Ndeka ninachokumbuka Ni mishkaki ile ya mia na kingine hapo minazini kuna nyumba pembeni inauza unga toka nipo mdogo mpaka leo halaf mbele kidogo kama unataka kwenda sokoni kushoto kulikua kuna nyumba imejaa mashoga wakina zungu yaan tukipita tukitoka shule tunawashangaa
 
Na buguruni pia, sijajua kwa sasa hali ikoje, sewa na kimboka zilikuwa zikifungwa saa 7 root kwa zero pub till kuchee, niliwahi kuopoa ma.laya akanywa safari 4 nikalala nae na kumuibia 120k, nikasepa akastuka alinifata stend na chupi tu! sitasahau!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
We jamaa umeua
 
Back
Top Bottom