Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
- Thread starter
- #281
Kuna dharura imetokea.... Hatukuweza kufanya interview vizuri.. Tumekatisha.. Taarifa za msiba wa mzee concord ndio kanipa yeye na Salum wa Tiger bar pia.. Naondoka kwenda Dar muda huuMkuu mshana mwambie james ngomero nimepata taarifa zao yeye na imma mchaga, ustadh saleh wamemuibia mzee mbuzi hii juzi x-mas wamemchinja open kila mtu anaona wamepika supu wamekula..mwambie nikipata mda nitawafata mwanyamala moja moja na watamlipa huyo mbuzi...anatumia ile no mwisho 83? Namtafuta daily simpati..mkuu mshana nipigie kwenye ile halotel yangu mwisho 68 nionge nae huyo shetwani wa mwanayamal