Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama haikukuua tuonjeshe uzoefu wa utamu wake tuchangamkie fursa, mijibwa ya kutosha kitaa kazi ya kutung'atia watoto na kutupa hasara ya matibabu.Daahh nshalishwa nyama ya mbwa mwananyamala nikijua mbuzi
Hivi hawajampa ngoma kweli
Ilikua na ladha gan mkuu[emoji86] [emoji86] [emoji86]Daahh nshalishwa nyama ya mbwa mwananyamala nikijua mbuzi
Mkuu toa address nzuri na sisi tupite siku moja moja ahhaahaKuna biashara inaendelea pale minazini kuna nyumba imejengwa km madarasa ya shule (jina maarufu kwa wahaya) kipindi kile bao moja ilikuwa 1500, kulala 5000 mda wa biashara ni saa 7 mchana mpaka midnite vile vyumba vina milango miwili yanii unaingia mbele unatokea nyuma..wanaojiuza unawakuta wamekaa mlangoni pale chini mteja akija hakuna ata salamu ni speed tu ndani, kuna wamasai pale wao ni km walinzi wa ile biashara ukizingua kulipa wanakupa kichapo wateja wengine walikuwa wanakwenda kutolewa ndani ya room unakuta mteja amelipa 1500 ya mwendo mmoja yeye anaunganisha basi anaitwa mmasai fasta na bakora zake....pia hawa wamasai unakuta analipwa elfu 60 kwa mwezi ila mwisho wa mwezi anaambulia elfu 8 au 10 nyingne zote anakuwa anapewa huduma sana sana za buku 5 zile za kulala usk...HAPO ni MINAZINI
Ilikuwa haikolei chumvi asee.Ilikua na ladha gan mkuu[emoji86] [emoji86] [emoji86]
Mkuu ukifika hosptal ya mwanyamala tu basi umefika eneo la tukio ata mbwa utakayepishana nae ukimuliza kwa wahaya(japo yapo makabila tofauti) umefikaMkuu toa address nzuri na sisi tupite siku moja moja ahhaaha
Kapigwa sana huyu manzi na wasiwasi virus must beChimbo za ray C, wazee wa mitungo
Asante sana mkuuMkuu ukifika hosptal ya mwanyamala tu basi umefika eneo la tukio ata mbwa utakayepishana nae ukimuliza kwa wahaya(japo yapo makabila tofauti) umefika
aisee, buguruni ni carbon copy ya m/myamala, ila mwananyamala ni sayari nyingine kbs!Huu uzi uunganishe na wa buguruni tu mtaa kwa mtaa manake tabia zinashabihiana kabisa
Marejesho mkuuAsante sana mkuu
Hapo ujiji siku yangu ya kwanza natembea night mitaa hio wazee wa kazi wakanichukulia simu ,..una bahati semaNilishawahi kupita mitaa hiyo kwa miguu tena usiku mara kadhaa. Kuanzia Studio, Hospitali, Kwa Mama Zakaria, Ujiji, Kwa Kopa na sikuwahi kukabwa. Labda nilikuwa na malaika mlinzi.
Ila pale Mwananyamala A na kwa Kopa, Ujiji kuna sura si za Amani kabisa
Sinza hyo babaHivi Abajalo ilikuwa ni ya Mwananyamala pia?