Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

Mkuu toa address nzuri na sisi tupite siku moja moja ahhaaha
 
Na mimi niongezee;
kama ni mgeni hasa nyinyi wa mikoani na vichench vyenu! usijidai ww ni papaa na mpenda kunjunja! ukiwa kwenye tule monde mwananyamala, unaweza kushobokewa na demu kisuu! zaidi ya beyonce! ukajiona umepata kumbe watu wako kazini!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Na buguruni pia, sijajua kwa sasa hali ikoje, sewa na kimboka zilikuwa zikifungwa saa 7 root kwa zero pub till kuchee, niliwahi kuopoa ma.laya akanywa safari 4 nikalala nae na kumuibia 120k, nikasepa akastuka alinifata stend na chupi tu! sitasahau!
 
Hapo ujiji siku yangu ya kwanza natembea night mitaa hio wazee wa kazi wakanichukulia simu ,..una bahati sema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…