mzeewangese
JF-Expert Member
- Feb 11, 2016
- 643
- 499
Beach Mahuzi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tutahamia Manzese midizini Mburahati mpaka Kigogo bila kusahau Mabibo moja... Kuna beach kule
Matunge naye yupo mitaa ya Kamanyola ana mtoto wake alikua model alicheza tangazo la Kili lager basi uswahilini akawa anaonekana mjanja yeye na videmu anawapopoa tu,kwa ile mitaa Matunge alikua anaonekana wa KishuaVulata tulipanga kwake pale komakoma
Umenikumbusha Garage Mchangani kuna nyumba ilikua gheto la wachezaji football wanawake,nilikua nakichukua kimoja kimekomaa kinyama!ujana rahaNapita mwananyamala mchangani kuna sehemu wanapaita bar mpya .Mateja wakitoka kumeza methadone mwanayamala hospital wanakuja kunywa uji baa mpya mateja kibao.
Sanaaaaaa....yule ticha alikuwa hatari kwa mitusi,wa michezo alikuwa anaitwa mtega kama sio kitega sijui vile silikumbuki vizuri jina lake ila alichezeshaga sana mechi za B paleYah ticha wetu huyo na mwalimu wa michezo yule mwanaume alikuwa anaitwa nani vile? Matusi ya mwalim mshana unayakumbuka?
Umenkumbusha mbali sana hilo neno lake "some body....."Jaman some body kimwana aka yake mwalimu mpogolo tulikua tunamuitaMalipula au tinka
Yupo pale pale na biashara yake ile ileMeja matunda yupo mtafuna miraha
Ukiwa na mke au watoto. Sehemu hizi sio nzuri kuishi nayo:-Mwananyamala, Sinza, Keko, Sinza, Kinondoni si pa kukaa na familia
Bora ukae upande wa pili wa barabara ya Nelson Mandela
Matunge nae msanii tu mbogo,silvester watoto wake nowdys wamebaki kujichora matatoo km blackboard dah mwanayamla sio sehem salama kwa malezi ya mtoto wako...kuna mmoja alikuja kuanzisha hostel maeneo ya kwa baba happy kwa nyuma pale madada wa hostel walikuwa wanaliwa deo(chabo) mpka wamechanganyikiwa maana awana pakwenda kushitaki unakuta mjumbe wa shina nae mla deo ikafika kipindi wanapiga story tu na wazee wa chabo wakiwa madirishani..madada wanasema "basi tuacheni tulale chabo mpaka tukiwa tunajisomea?? dah na nyie mezidi""? wazee wa deo wanajibu "FUNGUA KIDOGO nione naondoka"
Mama kuporomosha matusi mbele ya watoto sio ajabu au wadada kuingiza wanaume vyumbani kwao nyumba za urithi wakati wanaishi na ma bro humo humo kawaida tuUkiwa na mke au watoto. Sehemu hizi sio nzuri kuishi nayo:-
Mwananyamala
Magomeni
Keko
Buguruni
Ilala
Vingunguti
Bonde la msimbazi
Msasani bonde la mpunga
Iyo mieneo mtoto kudata ni kitu cha Kawaida sana
Mdogo wake nlijipigiaga sanaNajua ana ndugu wengine mi namfahamu said mkandu
Mzee ndio mwenyekiti wa s/mtaa bwawani
Siku Ile Nimetafakari Hii Pombe Inaitwaje Sikupata Jibu La Haraka Haraka Nikasema ipo Siku Nitakuja Ijua TuuuView attachment 680687tulikuwa hapa na James...
Mbona wengine tupo humu tunashindana kwa hoja na nyie wakishua?Ukiwa na mke au watoto. Sehemu hizi sio nzuri kuishi nayo:-
Mwananyamala
Magomeni
Keko
Buguruni
Ilala
Vingunguti
Bonde la msimbazi
Msasani bonde la mpunga
Iyo mieneo mtoto kudata ni kitu cha Kawaida sana
Wahuni walifukua kabuli wakamvua vito vya thamani wakasepa daaaah then walikuwaga wanaenda kuweka kidumu cha maziwa juu ya kaburi basi raia wanategea wakisepa tu maziwa yanapitiwa fastaKumbe walifanya yao wahuni? Ila siku kaburi linafukuliwa nilikuwepo maana eneo lote mwanyamala na viunga vyake walipata taarifa mpaka kinondoni studio watu walikuwa ni wengi sana na siku ile ndio james ngomero alipopata KIKI maana kaburi lilikuwa na zege juu mwanaume alipiga kazi balaa