upendodaima
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 4,078
- 4,504
Kitambo sana hiyo mitaa ila nakumbuka ukinyoosha nyumba ya kwanza kabisa unavyokata kulia alikuwa anaishi mama mmoja mkulya somebody mama Ghati kama sijakosea,alikuwa mkorofi sana akitibuka anatukana matusi mtaa mzima pale.Hapo kwenye huo uchochoro wa Chidumule ukinyosha, unapokata kona tu kuna saloon ya kike. Maajabu saloon yenyewe inahudumiwa na was.enge.