rama halavi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2015
- 269
- 236
Siku hizi napita tu pale ila miaka ya nyuma siku mmoja polisi wa mwinyijuma walimkama mlinzi wa nyumbani kwetu kino kwa kosa la uzururaji so wakati napita akaniona akaniita na kuniambia nikamwite maza polisi walivyosikia hivyo wakaogopa sana maana walikuwa hawamjui na hawajawahi kumuona ila walikuwa wanaambiana tu wenye nyumba ila ni wafanyakazi wa usalama wa taifa basi maza alipofika wala akuuliza akawaambia mtoeni kama wakamtoa kwa uoga wa kutojua. Kumbe bi mkubwa alikuwa anafanya kazi sigara. Basi nikawa nikipita hata mimi wananiogopa, one day tuko home nje maskani na wanangu mpaka saa 9 usiku wakapita polisi wa obey wakataka kutukamata wakaambia hao waacheni msiwaguse hata kidogo. Basi ikawa burudani usiku ni vibaka wala kukwamatwa na polisiNow wana mgambo mmoja hivi wa maduka matatu