Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ebu nitajie wanafunzi wa5 tuShun nipm tukumɓushane
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ebu nitajie wanafunzi wa5 tuShun nipm tukumɓushane
Evod paul ni john kisomo [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] na nani yule mfundo sijui..mazingaombwe unayakumbuka? Na wanyonya damu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sio mm aisee halaf wewe kama ulikua na kina mkandu me na we tulikua madarasa tofauti ahahha nimecheka mnooo wapi evod paul na yule mwenzie nani
Nimesikitishwa Et Kuna Sehem Watu Walikuwa wanakalia Kigogo Bass Kumbe Kile Ni uume wa Binadam DaaaahhMkuu huko Mwananyamala basi hapafai kabisa!
Mwanangu we wa kitaa kabisa maana mimi home ni mtaa aliokuwa anaishi Joseph katuba kipa wa zamani wa simba, japo kwa sasa sipo maeneo hayo ila huwa napita mara kwa mara. kipindi hicho video ccm mwinyijuma. Sasa hivi wameweka gymmwananyamala A karibu na CCM mwinyi juma ndio home, japo sipo ila mjengo na baadhi ya madogo wapo pale...ishu ya madawa Ndanje alimpiga kabali Mbwa ya Polisi hadi ikafikwa na umauti
...huu uzi mang'ombe wenzio wanaugwaya,Aliemuoa Norah sio Matunge ni Ng'wizukulu Jilala
Evod Paul na nani Charles ndio wasongo wetu nimemsahau mwenzie mfupi hivii mazingaombwe ahhaha ya power nani sijui daaah tukiona wazungu wamekuja tunakimbia eti wanyonya damuEvod paul ni john kisomo [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] na nani yule mfundo sijui..mazingaombwe unayakumbuka? Na wanyonya damu
Mada ya Mfahamu James Ngomero: Bingwa mtuhumiwa wa zile maiti 11 za watoto hospitali ya Mwananyamala imenikutanisha na watu wengi ambao kwa namna moja ama nyingine tunaweza kuwa tunafahamiana kabisa...
Si hilo tu bali nimegundua sehemu kubwa wanaJF Dar wengi ni wakazi wa Mwananyamala/Kinondoni katika ujumla wake...
Kuishi Mwananyamala pekee ni chuo tosha... Ikiwapendeza kwa uwingi wetu tunaweza kuwa na huu uzi wa vituko vya Mwananyamala mtaa kwa mtaa... Naamini kama umeishi Mwananyamala hutokosa cha kusimulia.
1. Madawa ya kulevya: Mwananyamala eneo lote la Mwananyamala A ni kituo na kitovu kikubwa cha madawa ya kulevya kuanzia wauzaji mapusha mpaka watumiaji... Hospital ya mwananyamala ina kituo cha kutoa tiba kwa mateja na nadhani ndio kituo kikubwa zaidi Tanzania.
2. Hospital ya mwananyamala: Ndio hospital maarufu zaidi yenye vituko na kashfa nyingi... Kuanzia kutoa mimba, kashfa ya vichanga 11, wizi wa maiti, rushwa... Maiti iliyofumuliwa na kutolewa madawa na madaktari kuiba hayo madawa,... Nk nk.
3. Matapeli: Hapo ndio kwake.. Mitaa maarufu ikiwa ni kuanzia kwa Kopa, A mpaka karibu na Kinondoni B, wale matapeli maarufu mmoja akijulikana kama doctor... Wale matapeli kiboko wa Jerry Muro, bar yao kubwa ilikuwa nyuma ya hospital ya Mwananyamala.
4. Ofisi na kampuni za mifukoni: Eneo lote la Kinondoni Mkwajuni mpaka Biafra ni hatari kwa shughuli hizo.. Utataka nini ukose.. Mihuri ya siri? Nyaraka za serikali? Mikataba mbalimbali, nyaraka za kusafisha mizigo.. Pesa bandia, madini bandia.. Kila kitu hukosi hapo. Mitaa hiyo ni maarufu kwa madaktari feki, Wanausalama, polisi, wanajeshi mahakimu, wanasheria, wabunge hata mawaziri nk
5. Machangudoa, wasagaji, mashoga, Mario nk... Mtaa wa wibu ndio kama kitovu cha mashoga.. Ukiwasikia kina anti abuu, anti Ali hiyo ndio ilikuwa mitaa yao.. Habari za Machangudoa na wasagaji zinajulikana wazi.. Kinondoni na Mwananyamala ndio headquarters..
6. Wezi, vibaka majambazi, wakora nao wako: Ukisikia roba za mbao na watu wanaitwa mbavu Mwananyamala ndio kwao
7. Wachawi wanga na waganga Wamo pia.. Mwananyamala kuna military base kubwa sana/KILINGE ya wachawi.... Lile anga limechafuka.
8. Wasanii wanamuziki wa aina zote: Bongo movies, Taarab, na kadhali kaliba yote hii kwa sehemu kubwa chimbuko ni Mwananyamala
9. Wahamiaji haramu: Wakongo, Wamalawi, Wakenya, Waganda, Warundi nk... Sehemu kubwa wamejazana Mwananyamala.
Yako mengi ya kuandika kuhusu Mwananyamala siwezi kuyamaliza yote... Mengine yataandikwa na kusimuliwa na WanaJF - Mwananyamala Wing...
Na wewe wa mtaani kwetu nini? Au ulikuwa mdau wa video pale mwinyijuma?Evod Paul na nani Charles ndio wasongo wetu nimemsahau mwenzie mfupi hivii mazingaombwe ahhaha ya power nani sijui daaah tukiona wazungu wamekuja tunakimbia eti wanyonya damu
Siƴo vizuri kuwata wenzetu hapa puɓlic mƴ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ebu nitajie wanafunzi wa5 tu
Hapana mkuu me mtoto wa A mtoto wa kota asee watu wengi mtaani kwetu wameuza nyumba sisi bado nyumba yetu ipo huwa naenda kutembea bado ni nyumbaniNa wewe wa mtaani kwetu nini? Au ulikuwa mdau wa video pale mwinyijuma?
Yaaan wewe muongo pm me situmiiSiƴo vizuri kuwata wenzetu hapa puɓlic mƴ
Kabisa ahhhaa aaahGwiji hachezi mbali na maeneo yake ya kujidai Mkuu.
Halaf pale pembeni ukivuka barabara ambapo ndio center ya mateja kwa kina ally mbade sijui unamkumbuka ana rasta hiviPale karibu na hosptal ya mwanayamla kuna KAM dispnsary kuna siku wahuni walikwenda kuifunga ile KAM kuna kijana mmoja mzamini wa wahuni yanii wahuni wakiiba huko simu sijui handbag yeye ndio taita anawapa cash...yule Don wao kuna siku jino limemsumbua akaenda pale KAM doctor aliyemkuta zamu ameshapiga vyombo banana enzi hizo docor kampiga sindano ya ganzi fresh doctor ameacha jino bovu akatoa jino zima dah yule Don akatiwa pamba mdog mdog mpaka home ganzi inakwisha anagundua jino bovu lipo duh huo mtiti wake sio mdogo wakawambia wahuni wake leo sina pesa nimeumwa jino nimekwenda kutoa doctor kazingua wahuni wakatia timu pale KAM wanadai jino la Boss wao lile zima arejeshewe vumbi balaa wahuni waliondoka mpaka na mikasi na doctor juu juu wakaenda nae ujiji huko
Ahhha kudadekiPale karibu na hosptal ya mwanayamla kuna KAM dispnsary kuna siku wahuni walikwenda kuifunga ile KAM kuna kijana mmoja mzamini wa wahuni yanii wahuni wakiiba huko simu sijui handbag yeye ndio taita anawapa cash...yule Don wao kuna siku jino limemsumbua akaenda pale KAM doctor aliyemkuta zamu ameshapiga vyombo banana enzi hizo docor kampiga sindano ya ganzi fresh doctor ameacha jino bovu akatoa jino zima dah yule Don akatiwa pamba mdog mdog mpaka home ganzi inakwisha anagundua jino bovu lipo duh huo mtiti wake sio mdogo wakawambia wahuni wake leo sina pesa nimeumwa jino nimekwenda kutoa doctor kazingua wahuni wakatia timu pale KAM wanadai jino la Boss wao lile zima arejeshewe vumbi balaa wahuni waliondoka mpaka na mikasi na doctor juu juu wakaenda nae ujiji huko
Ali mbade amekuwa anauza uza sijui nin pale na kisauti chake flani hivi kwa mbele kuna shomari Ali tulisoma nae pia..kuna jeba khasim wote wapo maeneo hayo hayoHalaf pale pembeni ukivuka barabara ambapo ndio center ya mateja kwa kina ally mbade sijui unamkumbuka ana rasta hivi
Ni kweli nyumba nyingi zimeuzwa pande zile na wenyeji wengi wameahama, kuna nyumba karibu na dispensary ya mashuda walikuwa wanauza chakula kwa ajili ya makonda na madereva wa daladala tu na pia humo humo wanauza bangi na madawa. Kweli mwananyamala imebadilika zama zile zimepotea kabisa. Tushacheza sana keram kwa meja matunda.Hapana mkuu me mtoto wa A mtoto wa kota asee watu wengi mtaani kwetu wameuza nyumba sisi bado nyumba yetu ipo huwa naenda kutembea bado ni nyumbani